Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Defoeeeeeee hii hatari aseeeee 2-2.
Haaa haaa FT 2-2 maisha yanaendelea.
 
What's the average ticket price? How much does a season ticket cost? Hivi mbona Arsenal hawa protest ticket prices maana zao ndiyo balaa zaidi!
Aaaah, niache kwanza ndugu...weekend ishahribika..
 
Migs kila siku anatucost lakin bado anaanza week in, week out
 
Bodgan kafanya mistakes wamemdrop, Mignolet kila kukicha anatucost, kila kukicha..
 
hata kama bro, lakin makosa ya wazi kabisa ya Mignolet yanatuumiza sana..
Goli la kwanza ni makosa ya Mignolet kwa 100% sijaelewa alikua anataka ku-clear vipi ile foul,Mignolet nasema mara lundo hastahili kuvaa jezi ya Liva ila ndio ivyo.
 
Goli la kwanza ni makosa ya Mignolet kwa 100% sijaelewa alikua anataka ku-clear vipi ile foul,Mignolet nasema mara lundo hastahili kuvaa jezi ya Liva ila ndio ivyo.
jamaa katucost points 15 msimu huu..15 points man.
 
Migs akicheza Jumanne, then tutaiaga FA cup...

akicheza trh 28, tusahau ubingwa wa COC.
 
Sakho naye been SHOCKING, terrible yaani..

i'd play Caulker and Lovren (kama injury yake siyo serious) dhidi ya Westham
 
Klopp anapaswa kuifanyia kazi defence,hawa wachezaji enzi za Rodgers mbona hawakufungwa magoli ya kijinga hivi,nini kimetokea?
 
@kopfocus wanamlaumu GK coach eti hana uzoefu.
Siyo kwamba hana uzoefu bro, yule kocha ni m-bovu sana..ndiyo alimuharibu Reina, kuna GK coach alikuwepo kipind cha Benitez ndiyo alikuwa mzuri, lakin tangu aje huyo jamaa, makipa wote wanapotea..na kina Ayre wanamwacha tu, wamefukuzwa managers pale lakin yeye bado yupo tu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom