ayre should resign if he failed to land alex texeira....maana huu ushakua upuuzi kama waliweza kumnunua benteke 32.5 na caroll kwa 35 kwanini washindwe kumnunua texeira kwa 30?kumkosa huyu jamaa utakua uzembe wa hali ya juu sana.Mie Bado sitaki kufurahia Sana Ayre Na Shaktar kasha Fail Mara 2 Na Willian Na Jamaa WA Dortmund sasa naomba isiwe Mara ya 3 kwa Texeria sababu katika players tuliwakosa Kuna wengi nilisikitika then nikaona kumbe bora tumewakosa Kama mo salah Na Koloponkya sijui ILA Willian Na jamaa Wa Dortmund Ni vifaa tumejutia kuwakosa pengine LFC iwe Na Scout WA Shaktar jamaa wanakuwa Na Players WA Nguvu, Mie nasubiri kuona mchezaji Na jezi Na Karatasi Na Peni isije kuwa Ayre yupo Boston anafukuzwa kazi.
The Reds will hold further talkswith Teixeira’s employers as they push to strike a deal this month.Deal vip?
Jana Ayre karudi bila deal japo maongezi yanaendelea lakin history inaweza kujirudia shaktar wamekuwa wanapiga sana za babu ayre kwenye hzi dealMie Bado sitaki kufurahia Sana Ayre Na Shaktar kasha Fail Mara 2 Na Willian Na Jamaa WA Dortmund sasa naomba isiwe Mara ya 3 kwa Texeria sababu katika players tuliwakosa Kuna wengi nilisikitika then nikaona kumbe bora tumewakosa Kama mo salah Na Koloponkya sijui ILA Willian Na jamaa Wa Dortmund Ni vifaa tumejutia kuwakosa pengine LFC iwe Na Scout WA Shaktar jamaa wanakuwa Na Players WA Nguvu, Mie nasubiri kuona mchezaji Na jezi Na Karatasi Na Peni isije kuwa Ayre yupo Boston anafukuzwa kazi.
Acha uongo hiyo hela nyingine uliongezea wewe?Carroll 35 + benteke 32+ lambert 4 unapata £111.2???Liverpool have spent £111.2M on Lambert, Carroll, Balotelli & Benteke for 15 goals in 104 appearances (£7.4M per goal)
#lmao
Umemsahau ballotelAcha uongo hiyo hela nyingine uliongezea wewe?Carroll 35 + benteke 32+ lambert 4 unapata £111.2???
Hata ukijumlisha na 16 ya balotelli haifili huko hardly ni kama 87 sasa hizo zingine zinatokea wapi?, halafu kwenye soka siyo kuwa na fee kubwa siyo guarantee hauwezi ku floppyUmemsahau ballotel
My point is msipende ku-critise kwa wenzenu mkasahau kwenu, daily mna mshambulia depay as if ndio wa kwanza kufloop, wakati hata huku kwenu pia wapo na wamepitaHata ukijumlisha na 16 ya balotelli haifili huko hardly ni kama 87 sasa hizo zingine zinatokea wapi?, halafu kwenye soka siyo kuwa na fee kubwa siyo guarantee hauwezi ku floppy
Kwani torres kipindi anaenda chelsea ulitegemea ange-floppy namna ile Kama carroll? Na Kaka pale madrid?? Zlatan pale barca, di malia man utd na sheva pale chelsea?
Mchezaji kusucceed kwenye timu anayoenda kuna varieties of issie, uchezaji wa timu na timu imejengwa kuzungukia nani, mfumo wa kocha anayekuta pale
Kwahiyo linapokuja swala la kuangalia floppy, angalia na umri. lambert kaja Liverpool his home and supporting club umri ukiwaumeenda hata Fowler his second stint wasn't that great
Hahahahahhahaha kumbe wewe man utd haya bhana ila sidhani kama ulishaniona nimemcritise "new ronaldo" wenu kwanza huu ni msimu wake wa kwanza epl kuna mambo mengi ya kujifunza ili afike ile level mnayodhani anadeserveMy point is msipende ku-critise kwa wenzenu mkasahau kwenu, daily mna mshambulia depay as if ndio wa kwanza kufloop, wakati hata huku kwenu pia wapo na wamepita
Hahahaaa mkuu united is my team and red is my blood, we ndio shabiki wa kwanza kuona hauna negativity kwa depay, kuna watu wanamshambulia sana yule dogo as if ni mkongwe na ligi, wanasahau kwamba msimu huu wachezaji wengi wapo hovyo hata wale wakongwe na ligi,Hahahahahhahaha kumbe wewe man utd haya bhana ila sidhani kama ulishaniona nimemcritise "new ronaldo" wenu kwanza huu ni msimu wake wa kwanza epl kuna mambo mengi ya kujifunza ili afike ile level mnayodhani anadeserve
Kama ni kuwa floppy ingekuwa vizuri akazungumziwa akiwa ameishaondoka kwenye club husika ndiyo italeta mantiki ila kuwa floppy kwenye mechi husika hilo lazima akosolewe/kupondwa kama wengine wanavyopondwa hata Smalling alikuwa anapondwa sana kwa poor performance je Smalling wa miaka hii 2 or 3 ndo yule floppy wa siku za nyuma zaidi? Toa performance dhidi ya Newcastle