24h News for Liverpool -
Liverpool bid for this world star, he instantly picks up hamstring injury
kloop effect24h News for Liverpool -
Liverpool bid for this world star, he instantly picks up hamstring injury
kloop effectklopp naona atampa sana nafasi za cups hadi Europe leaguekinacho niuma ni teixeira na umri ule alitakiwa awe regular starter ila ndo hivyo bado ni academy player wakati kuna mtu kama lallana anavunja movement kwa kukaa na mpira muda mrefu
Vipi hataki kuwa jogoo ?24h News for Liverpool -
Liverpool bid for this world star, he instantly picks up hamstring injury
Kisheria sio Goli sababu chukulia nje ya goli pembeni ya chalk mtu akiwahi mpira usitoke Kama hiyo Picha akaurudisha ndani ya uwanja game inaendelea kwamba haujatoka, Goal line huyo mpira unatakiwa ujae wote ndani ya goli kuvuka mstari ndio iwe Goli.hivi sheria ya goal technology ikoje? ni mpaka mpira uvuke wote line? au ukivuka robo tatu tu inatosha kua goli halali?
Alishawahi kwenda Ukraine na akashindwa kumleta konoplyankaView attachment 318345 in Klopp i trust
Klopp anadai atawapa time nyingi kwenye hizi tournaments amewahakikishia bright future ila amewataka wa-work hard ili waonekane EPL ila Klopp kavutiwa sana na OjoTeixeira/Brannagan should be starting ahead of Lallana...
Period..!
Hili dili linaweza kamilika kama kwa FirminoAlishawahi kwenda Ukraine na akashindwa kumleta konoplyanka
Yeah, ilikuwa kimya kimya sana, na kulikuwa na habari kuwa we are interested in morata lets hope hiyo deal itake place as soon as possible ila nasikia jamaa amepata hamstring baada ya kusikia wew are strongly interested nae sasa sijui ni business plan ya kwenye mpira au ni Aquilan mwenginePearce saying Ayre asingeenda Florida US, kama LFC wasingekuwa na uhakika kuhusu hii deal ya Teixeira..nasikia Chelsea nao wanamtaka..
Nmesoma sehemu, reliable people wanasema ni knock tu, siyo injury kubwa....then record yake ya injury inaonesha amemiss 2 days za training kwa sababu ya injuries for the past 3 years..kama hiyo ni kweli basi huyo ni new suarez wetu katika masuala ya majeruhi..hakuna kuumia mia hovyo..Yeah, ilikuwa kimya kimya sana, na kulikuwa na habari kuwa we are interested in morata lets hope hiyo deal itake place as soon as possible ila nasikia jamaa amepata hamstring baada ya kusikia wew are strongly interested nae sasa sijui ni business plan ya kwenye mpira au ni Aquilan mwengine
Bonge moja ya Signing Man...Teixeira tutakuwa tumelamba dume maana hali now ni tete
sana Ian ayre yupo florida sasa anajaribu kuwatongoza wamuachieBonge moja ya Signing Man...
Yeah, ilikuwa kimya kimya sana, na kulikuwa na habari kuwa we are interested in morata lets hope hiyo deal itake place as soon as possible ila nasikia jamaa amepata hamstring baada ya kusikia wew are strongly interested nae sasa sijui ni business plan ya kwenye mpira au ni Aquilan mwengine