Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahah huyo aliereport kua kapata injury mzush...ndo yule aliekua anatudanganya kipind cha mkhitaryan Kama unamkumbuka uyo artur petrosyan kweny sakata la mkhitaryan.
lol kumbe ni huyo Kilaza?? hahahahahahahah
 
Ayre Get it done ASAP..
Yes kwa akil ya kawaid ayre hawez fly to america kama hamna uwezeakno wa deal
Maddock anasema owner wa shakhtar ni billionair ambae hana shida na pesa...but shakthar imeuza willian mkhitaryn costa fernandinho in last two years So bado hope ipo
 
lol, sitaki kuwa excited mapema hiv..but i cant believe we're getting him..Big Big Big signing..
hii ni habari njema sana kama mshikaki amefunga goli 26 katika game 25 alizocheza including 3 goals in cham ligi.....im also very excited....i cant wait to see him wearing LFC jezi.
 
Yes kwa akil ya kawaid ayre hawez fly to america kama hamna uwezeakno wa deal
Maddock anasema owner wa shakhtar ni billionair ambae hana shida na pesa...but shakthar imeuza willian mkhitaryn costa fernandinho in last two years So bado hope ipo

Maddock hajawahi kuwa right katika transfers tangu aanze kazi ya uandishi wa habari. and on top of all he writes for "Mirror"...
 
Coutinho,firmino,texteira....itakuwa hatari tupu pale mbele
Mtu Kama ibe na lallana itabidi wawe wanaenda uwanjani na madaftari kuchukua notis Sasa hv tuna kocha Mwenye ushawishi,aende na Dortmund atuletee gundogan pale kati lol
Najaribu kuivutia picha hiyo trio sijui itaitwa FTC, CTF, TFC whatever. Natamani kesho before breakfast iwe done
 
But david maddock amesema bid yetu 24 pound is rejected...

Kuhusu LFC, watafute hawa LFC local journals (wanapewa habari na Club) na ni LFC fans.

1. James Pearce (Echo)
2. Neil Jones (Echo)
3. Tony Barret (Times)
4. Ben Smith (Kaondoka BBC now)
5. Paul Joyce (Express)
6. Dom King (Daily Mail)
7. Chris Bascombe (Telegraph)

Nje ya hao, habari za LFC za uhakika zinatoka hapa:
1. Skysports
2. BBC
3. The Guardian
4. Graham Hunter. (Spain)
5. Rafael Honigstein (ujerumani)


and you can choose to trust Di Marzio pia, but anatumika sana na Agents siku hizi..reputation yake imeshuka mno.
 
hii ni habari njema sana kama mshikaki amefunga goli 26 katika game 25 alizocheza including 3 goals in cham ligi.....im also very excited....i cant wait to see him wearing LFC jezi.
The Famous Red Jersey..
 
Hahah usiwe excited sana mkuu siku hizi naona kimya kimya tunafata wachezaji as Caulker habari nimeisikia asubuhi wakati was launch deal done..... Hii ya texeira ikienda poa basi summer kuna kitu kikubwa zaidi
hahahahhaahha...

Summer atuletee Gundogan babaaaa....
 
hii ni habari njema sana kama mshikaki amefunga goli 26 katika game 25 alizocheza including 3 goals in cham ligi.....im also very excited....i cant wait to see him wearing LFC jezi.
Oii, afu ulipotelea wapi mazee?
 
Coutinho,firmino,texteira....itakuwa hatari tupu pale mbele
Mtu Kama ibe na lallana itabidi wawe wanaenda uwanjani na madaftari kuchukua notis Sasa hv tuna kocha Mwenye ushawishi,aende na Dortmund atuletee gundogan pale kati lol
hahahahahahahaha

Lallana itabidi aanze kutafuta Team tu...

Ibe, itabidi tu ataolewe kwa mkopo..
 
@MosDes mcheki uyu mzushi
0790c8a28020c3b403017324987de423.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom