Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ko
Hayo yote najua but tc ni jina tu .huo mfumo hauna tofout na how top teams work in recruiting players..ego ya br ya kukataa kuwork na DOF ndo ikapelekea fsg kuunda tc which is close substitute to Dof...ndomana hata klopp ambae amework with dof in dortmund alisema haikua problem for 10 seconds when tc mentioned to him...point yangu hapo juu ni kua hamna kocha dunian ana full authority in transfers na br kublame tc for his failures is lame excuse...only mou na fergie I guess ndo walikua wana full authority in signings

Pia br ni part of tc na his signings have been worse compared to other members of tc signings

Mfano br alimtaka ashley williams na betrand tc ikamtaka moreno na sakho

Br signings
-lovren
Lallana
Benteke
Milner
Lambert
Allen
Borini

Tc singings
Ds
Can
Coutinho
Sakho
Moreno
Origi
Balloteli
Makovic
mfumo wa TC ni tofauti na Clubs zingne, na TC siyo jina tu, bali ni structure ya usajili iliyowekwa na LFC. na aina ya usajili wa LFC ni tofauti na team nyingine, tunatumia Votes na computer programme, kupitisha players waliokuwa suggested, hiki kitu hakipo kwenye any other top teams. na hicho kitu ndo kilimfanya Klopp asign mkataba baada ya kuhakikishiwa kuwa hakutakuwepo na huo upuuzi tena.

hayo ya BR kuwataka kina Ashley Williams and Co huwa nayaongelea kila siku humu. na the fact kwamba BR alikuwa anawataka kina Ashley Williams haipotezi uhalisia wa kwamba TC imekuwa moja kati ya chanzo cha kufail kwa signings kibao pale LFC. simple as that.
 
MosDef tambua Kabla ya tc kuundwa br alikua na one window ambayo alifanya signings kama allen na borini..akamtaka dempsey ahead of ds.....tc ikaanza kufanya kazi january msim huo na their first signings walikua ds na cou...those two were successful ikaja summer tukawasajil kina sakho alberto ilori ambao weng walikua tc choices...baada ya br kumaliz nafas ya pili uo msim akademand more authority in transfers kama condition ya kusaini new deal...akapewa more authority na akasema kabisa kua hamna player ataekuja liver bila his approval n that he had final say ....lovren lambert lallana akawapata wote hawa for 55mln pound
 
ko
mfumo wa TC ni tofauti na Clubs zingne, na TC siyo jina tu, bali ni structure ya usajili iliyowekwa na LFC. na aina ya usajili wa LFC ni tofauti na team nyingine, tunatumia Votes na computer programme, kupitisha players waliokuwa suggested, hiki kitu hakipo kwenye any other top teams. na hicho kitu ndo kilimfanya Klopp asign mkataba baada ya kuhakikishiwa kuwa hakutakuwepo na huo upuuzi tena.

hayo ya BR kuwataka kina Ashley Williams and Co huwa nayaongelea kila siku humu. na the fact kwamba BR alikuwa anawataka kina Ashley Williams haipotezi uhalisia wa kwamba TC imekuwa moja kati ya chanzo cha kufail kwa signings kibao pale LFC. simple as that.
We have a head of analysis, a head of recruitment, a first-team manager, myself. All of those people are all inputting into a process that delivers what a director of football would deliver.”

That there sums up tc in nutshell
 
He is back on bench tomorrow......

da96fc03bba98bf171743903817eb3ed.jpg
 
MosDef tambua Kabla ya tc kuundwa br alikua na one window ambayo alifanya signings kama allen na borini..akamtaka dempsey ahead of ds.....tc ikaanza kufanya kazi january msim huo na their first signings walikua ds na cou...those two were successful ikaja summer tukawasajil kina sakho alberto ilori ambao weng walikua tc choices...baada ya br kumaliz nafas ya pili uo msim akademand more authority in transfers kama condition ya kusaini new deal...akapewa more authority na akasema kabisa kua hamna player ataekuja liver bila his approval n that he had final say ....lovren lambert lallana akawapata wote hawa for 55mtln pound

mwaka 2012, ndiyo mwaka ambao Rodgers alikuwa ayppointed kama LFC manager, but kabla ya hapo ikumbukwe FSG walikuwa wamempiga Chini Comolli, na bado walikuwa na idea ya kuendelea na D.O.F mwingine, na walikuwa wanamtaka Louis Van Gaal, but Rodgers akagoma kufanya kazi chini ya LVG, na ndiyo ilikuwa condition yake kubwa kabla ya kusign mkataba, FSG wakaachana na LVG, but itabidi ITAMBULIKE hapa kuwa, mwaka huo huo 2012, baada ya FSG kuachana na mpango wa DOF (Van Gaal), wakawaajiri Fallows (head of recruitment) na Hunter (Head of scout department) wote hawa waliajiriwa kutoka Man City, hawa waliajiriwa soon tu baada ya Rodgers kupewa kazi, so wakat Rodgers anawasajili Borini na Allen, kina Fallow walikuwepo na pia aliact kama Head of recruitment (approval yake ilikuwepo) and sababu kubwa ya Rodgers kuruhusiwa kuwasign Borini na Allen ni kwasababu alishawahi kufanya nao kazi, Allen (alimkuza kutoka Swansea), Borini (alianza nae Chelsea then Swansea), Ikumbukwe kuwa kipind Rodgers anaanza kazi, structure ya TC ndo ilikuwa inaundwa, na ilikuwa kukamilika mwaka ule ule 2012 (kabla ya january 2013) hapa ikiwajumuisha kina Edwards na Ian Ayre)..huu mpango ulikuwepo tangu Rodgers anaanza kazi, so wakat January window ya 2013 inaanza, TC ilikuwa IPO tayari, na ilianza kutekeleza majukumu yake for the first time as TC katika usajili wa 2013, but window ya ile ya August (Allen, Borini) kulikuwa na Rogders, Fallows na hunter.

Rodgers wanted Dempsey over Sturridge katika dirisha la January, na TC ilikuwa inamtaka DS, BR akapeleka mapendekezo yake kwa Mike Gordon, kina Fallows nao wakapeleka mapendekezo yao kwa Mike Gordon, FSG wakakubali kutoa hela kwa DS na limited money kwa Dempsey (walimruhusu BR kumsajili Dempsey) na ndo maana Deal ya Dempsey ilienda mpaka kwenye deadline day ambapo BR akataka kubadilishana Dempsey na Henderson, ilikuwa Henderson aende Fulham, Dempsey aje LFC, deal ikafail, Spurs wakatupiga bao..then katika Summer ya 2013, Chini ya Scout department ikiongozwa na Hunter, tukafanikiwa kumsign Luis Alberto, Aspas, katika hii summer Vita kati ya Br na TC ilikuwa ni kwa Mignolet Vs Begovic, TC ilikuwa ilisuggest Kuhusu Migs na BR alikuwa anamtaka Begovic/Vorm, kwa mara nyingine TC wakaibuka kidedea kwa Mignolet, na ikumbukwe TC signed Cissokho kwa mkopo kutoka Valencia. misunderstands kati ya BR na Committee ilianza pale Deal ya Willian, na ile ya Konoplyanka (Kono ilikuwa ni dirisha la january 2014)

Beef ikaja kushika moto summer ya 2014, ile hela ya Suarez, ikumbukwe Summer hii ndo ilifanyika Massive recruitment (Lallana, Lovren, Lambert, Balotelli, Moreno, Markovic, Emre can, Origi, Etc)..Rogders (Lallana, Lovren and Lambert), katika Window hii, Rodgers Voted NO kwa Moreno (alikuwa anamtaka Ryan Bertland), Voted NO kwa Markovic and Emre Can, and feud ilirise katika sigining ya Balotelli, hii ni baada ya Deal ya Sanchez kufail, Rodgers alikuwa anamtaka BONY, and TC walikuwa wanamtaka MB, here TC walifanikiwa kuwashawishi FSG, MB akaja LFC, (wont deny it, me ni mmoja wapo kati ya watu waliofurahia signing ya MB)..mpaka inafika January 2015, hakuna hata signing moja kati ya hizi zilizofanya vizuri, Emre Can akiwa anachezeshwa kama CB, na Moreno akiwa off and on katika kipind chote, Markovic ndo kabisa, Lallana, Lambert and Lovren ilikuwa disaster, hapo misunderstands kubwa ndo zikatokea, kila upande ukimlaumu mwenzake, nimeshaelezea huko juu kwanini Mike Gordon waliamua kum-back BR katika Summer ya 2015..


BR alipewa Authority ya kupick players wake summer ya 2014, ambapo he signed Only Lallana, lambert and Lovren, huku TC ikisign zaidi ya players 5-6, hapa bado inaonyesha ni jinsi gani alivyokuwa na limited authority, hence ndo ukawa mwanzo wa mvurugano mkubwa sana, naweza nikasema Summer ya 2015 ndo alikuwa na MAMLAKA yote, (ings, Gomez, Clyne, Benteke) TC walituletea Bobby..

The fact kuwa BR hakuwa na Say katika Transfers haifuti ile dhana ya kuwa ni SHIT na INCOMPTENT manager, na pia haifuti ubovu wa TC na FSG katika transfers, LFC tumefika hapa kwasababu ya ubovu wetu katika masuala ya usajili na mbinu na mfumo m-bovu tunaoutumia katika kufanya usajili..TC na FSG hawawezi kuepuka lawama, ile Compute programme ya Kina Edwards imepiga Chini Talents ngapi??? Club gan nyingine inatumia huo mfumo??? na the fact Rodgers alikuwa anaburuzwa na kina Fallows ni kwasababu walikuwa wanajua kuwa Hana hadhi ya kuifundisha LFC, LFC ni kubwa sana kwake, Rodgers alikuwa akiulizwa kama ana final say katika transfers alikuwa anabaki ukujiuma uma tu, leo hii hayupo LFC ndo anaongea kila kitu, WAKATI leo tu KLOPP kaulizwa (na sijui kwann mzee wa News Ed, hajaileta humu) kama ana Final SAY katika transfers KAJIBU "NIKISEMA MCHEZAJI HAJI LFC, BASI HAJI" hiyo ndiyo hali halisi ya kuwa na BIG NAME MANAGER.
 
Bwana MosDef naomba unijulishe unakopata hizi habari, make unaelezea mpaka nashindwa niseme nini?
Ni kuijua tu Team unayoishabikia kiundani, LFC ni traditional team, ukiamua kuijua kiundani utaipenda zaidi, japokuwa itakuwa inakuumiza mara kwa mara..

ukitaka ubiased opinions kuhusu LFC muone legend Pazi, ukitaka tactical analysis za ndani ya uwanja muone mak89, ukitaka Picha na breaking news muone Ed, ukitaka kujua ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa LFC kiundani zaidi muone @Wembee, ukitaka kupata moyo wa kujiamini na uvumilivu zaidi kuhusu LFC muone Malafyale, ukitaka mtu wa bantz, maneno mbofu mbofu kuhusu opponents fans na uchambuz wa LFC muone Janjaweed, lol ukiona mtu anakuboa humu wa team nyingine na unataka aondoke fasta muone The Magnificent, kama una binti unataka akaribishwe kiustraabu katika LFC family waone legends wetu Asprin na The Boss, Na ukiwa umemiss game na unataka kuifatila live kupitia JF, zione hizi Roho ngumu mbili Plesis na osokonoi, kama una rafiki mzungu, na anapenda kutembelea LFC family kwa suala la Kidhungu na uchambuzi mzuri wa kidhungu muone Tisha-TOTO na osokonoi, ataelewa vizuri tu, ukitaka vikolombwezo baada ya mechi muone Buldoza, kuhusu mambo ya Commercial kuhusu LFC muone reynold, ukitaka mambo ya History za hapa na pale muone Tores, hahahah, ukitaka maneno ya kusumbulia kwenye vibanda umiza muone nyangelekene, lol, kuna @Mnyakitari, huwa anaibuka team likiwa limepitiliza kum-boa siku hiyo, anamwaga hasira zake zote afu anapotea, waaaapo weeengi saana, hii ni Family..UNAPATA KILA KITU HAPA, KIILAAAAA KITU.

#LFCFAMILY.
 
CONDITION ya kwanza aliyowapa FSG ni kuwa na FIRST na FINAL say katika MAMBO YOTE YA USAJILI..katika Klopp era hakutakuwa na mambo ya kupiga Kura wala nini, Klopp akimtaka Mchezaji anakuja Liverpool bila concern ya Commitee, Klopp wanted Subotic (loan) na Matip, Club ikajaribu, Dortmund wakakaza, kwa Matip tukaishia kufanya negotiation za pre contract..Kukawa hakuna options, Committee wakauggest kuhusu Caulker, Klopp na wenzake wakamwangalia, wakakubali aje kwa short term loan deal..simple as that..
N nipe ushahid kua klopp kawaomba owners wabadili mechanism ya tc iwe different to how it was in br tenure...
 
Ni kuijua tu Team unayoishabikia kiundani, LFC ni traditional team, ukiamua kuijua kiundani utaipenda zaidi, japokuwa itakuwa inakuumiza mara kwa mara..

ukitaka ubiased opinions kuhusu LFC muone legend Pazi, ukitaka tactical analysis za ndani ya uwanja muone mak89, ukitaka Picha na breaking news muone Ed, ukitaka kujua ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa LFC kiundani zaidi muone @Wembee, ukitaka kupata moyo wa kujiamini na uvumilivu zaidi kuhusu LFC muone Malafyale, ukitaka mtu wa bantz, maneno mbofu mbofu kuhusu opponents fans na uchambuz wa LFC muone Janjaweed, lol ukiona mtu anakuboa humu wa team nyingine na unataka aondoke fasta muone The Magnificent, kama una binti unataka akaribishwe kiustraabu katika LFC family waone legends wetu Asprin na The Boss, Na ukiwa umemiss game na unataka kuifatila live kupitia JF, zione hizi Roho ngumu mbili Plesis na osokonoi, kama una rafiki mzungu, na anapenda kutembelea LFC family kwa suala la Kidhungu na uchambuzi mzuri wa kidhungu muone Tisha-TOTO na osokonoi, ataelewa vizuri tu, ukitaka vikolombwezo baada ya mechi muone Buldoza, kuhusu mambo ya Commercial kuhusu LFC muone reynold, ukitaka mambo ya History za hapa na pale muone Tores, hahahah, ukitaka maneno ya kusumbulia kwenye vibanda umiza muone nyangelekene, lol, kuna @Mnyakitari, huwa anaibuka team likiwa limepitiliza kum-boa siku hiyo, anamwaga hasira zake zote afu anapotea, waaaapo weeengi saana, hii ni Family..UNAPATA KILA KITU HAPA, KIILAAAAA KITU.

#LFCFAMILY.

Ahsante sana @MosDes kwa kuthamini mchango wangu binafsi, sio siri ingawa hatuonani wala kujuana mimi naona ni faraja tosha kua hapa kuelekezana na kukokosoa hapa jamvini pia
wote uliowataja hapo juu huwa nawakubali sana kwa michango yao kwa kifupi nawaita waukweli hao
 
He is back on bench tomorrow......

da96fc03bba98bf171743903817eb3ed.jpg
Uyu dogo namkumbuka msimu wa 2013/2014 alikua fullback aliepitwa zaid ya fbs wote epl?? Uzur wa flano ni pale tu anapopiga tackling kwa nguvuuu basi anaoekana real scouser. Flano atakua backup to moreno na clyne..nothing less nothing more
 
Uyu dogo namkumbuka msimu wa 2013/2014 alikua fullback aliepitwa zaid ya fbs wote epl?? Uzur wa flano ni pale tu anapopiga tackling kwa nguvuuu basi anaoekana real scouser. Flano atakua backup to moreno na clyne..nothing less nothing more
Fight spirit yake huwa inanivutia zaidi
 
Hahahha eti Hamann think Klopp protect DS over his injury said Klopp he is not honest and truthfully. He think DS is pretending to be injury.
 
Tehteh MosDef nimecheka sana Ukitaka kujua mambo ya Swagga kuhusu Sturidge anatoka na Totoz gani au Lucas anapiga pam au hapigi Muone MosDef haya Turudi Anfield FA Cup- Liverpoolfc 3 - 0 next ni Westham tunakutana nao Home! magoli matatu yamefungwa na British Pirlo, Ojo na Texeria Goli la Ojo Kama Enzi zangu Magoli ya Miti Kamba yakatani tehteh.
 
Tehteh MosDef nimecheka sana Ukitaka kujua mambo ya Swagga kuhusu Sturidge anatoka na Totoz gani au Lucas anapiga pam au hapigi Muone MosDef haya Turudi Anfield FA Cup- Liverpoolfc 3 - 0 next ni Westham tunakutana nao Home! magoli matatu yamefungwa na British Pirlo, Ojo na Texeria Goli la Ojo Kama Enzi zangu Magoli ya Miti Kamba yakatani tehteh.
Benteke sijui anashida gani leo ni mechi ya tatu anakosa goli dakika za mwisho yeye na kipa, ojo ni team player siyo kama ibe nakimbia na mpira mpaka anatokanao nje ndo anatoa cross, nimependa sana goli la ojo
 
N nipe ushahid kua klopp kawaomba owners wabadili mechanism ya tc iwe different to how it was in br tenure...

Jurgen Klopp: I have the final say on Liverpool transfers


Klopp: I have final say on all Liverpool transfers


POINT YA MSINGI HAPO NI KWAMBA FIRST AND FINAL SAY KUHUSU SIGNINGS ITAKUWA CHINI YA KLOPP.

kwa mtindo huo hakutakuwa na;

1. Votes
2. Computer programs za kung'amua players.
3. Manager kuletewa List ya Players na kuwa forced kumchagua mmojawapo.
 
Tehteh MosDef nimecheka sana Ukitaka kujua mambo ya Swagga kuhusu Sturidge anatoka na Totoz gani au Lucas anapiga pam au hapigi Muone MosDef haya Turudi Anfield FA Cup- Liverpoolfc 3 - 0 next ni Westham tunakutana nao Home! magoli matatu yamefungwa na British Pirlo, Ojo na Texeria Goli la Ojo Kama Enzi zangu Magoli ya Miti Kamba yakatani tehteh.

Hahhahahahahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom