Umesikiwa Fundi hehehe ILA game over hii Firminho uozo Tu. Mie top 4 pia nishaikatia tamaa pia ILA Klopp alete watu wanaoweka mguu soft wengi.Moreno anapata nafasi za kutengeneza magoli wingi ya kushoto anashindwa kufanya lolote. Kwa nini Ibe asihamishiwe LW na Lallana kuingia badala ya Moreno?