mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Tetesi ambazo imeziona ni kuwa tunamtaka sana Leroy Sane (huyu mtoto baba yake alikuwa kocha wa timu ya taifa ya zanzibar) ujue ni ngumu kupata striker ambaye yupo mobile ambaye anaenda na mfumo na wachezaji wetu ndo maana hata muda gani glassyboy akae majeruhi ila akitudi tu uwanjani anatupia kwasababu anauwezo wa kucheza na space.Tetesi kuwa atakuja Lucaz aliyekuwa nae BVB na sasa yupo Gala ya Uturuki ni kweli?Yule akija Benteke ata shine sana