Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

RUMOUR has it that we have opened talks with Barca over a possible move of their keeper TER STEGEN
 
1451736483982.jpg
 
Daaah tupo nyuma tayari lkn bao sio halali hili bao sababu Moreno alikuwa kafanyiwa faulo
 
Lucas aangalie sana hizi pass zake tukiwa kwetu zitatugharimu
Lucas Na Firminho wana Pasi za hospitali, LFC Mara ya mwisho kucheza vizuri Ni Southampton wachezaji wengi LFC wanaogopa kutia mguu hasa Firmnho lazima ukaze mtu hii game itaisha 1-0 au 1-1 LFC wanahitaji kucheza ugumu ugumu Na kujaribu kila Ili Westham Players waogope warudi nyuma sio kuwapa Westam moyo WA kuja ubavu wetu. Yaleyale ya tunashinda Na timu inayofungua uwanja.
 
Lucas Na Firminho wana Pasi za hospitali, LFC Mara ya mwisho kucheza vizuri Ni Southampton wachezaji wengi LFC wanaogopa kutia mguu hasa Firmnho lazima ukaze mtu hii game itaisha 1-0 au 1-1 LFC wanahitaji kucheza ugumu ugumu Na kujaribu kila Ili Westham Players waogope warudi nyuma sio kuwapa Westam moyo WA kuja ubavu wetu. Yaleyale ya tunashinda Na timu inayofungua uwanja.
Game yetu hii kabisa kama tutaongeza fiziko kidogo tu kama anavyocheza Can
 
Benteke bana daaah!Klopp leta mtu pale mbele tafadhali
Benteke daah...sijui hata imekuaje form yake asee. Anaua motion, akiwa na ball anadelay kutoa, position za striker haonekani, anga zake za high balls kafichwa! Daah, bora tu Klopp acheze na false no.9 leo
 
Afadhali aingie Lallana Firmino asogee mbele kwa Benteke
 
Ah Mie kelele zangu kwa Firminho sioni anachocheza. Na tushapigwa 2-0

Moreno anapata nafasi za kutengeneza magoli wingi ya kushoto anashindwa kufanya lolote. Kwa nini Ibe asihamishiwe LW na Lallana kuingia badala ya Moreno?
 
Moreno anapata nafasi za kutengeneza magoli wingi ya kushoto anashindwa kufanya lolote. Kwa nini Ibe asihamishiwe LW na Lallana kuingia badala ya Moreno?
Team haina connection nzuri mbele hasa Coutihno leo hamna kitu na ukiongeza na fizikaliti ya mabeki wao Collins na Ogboana basi balaa kwetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom