Tukitaka mtu Kama Mascherano hayupo mbali Yule Pale Kibabu cha chuma Leicester Kante.tatizo kubwa la Tim yetu nidm mwenye nguvu,pia tunakosa creative mid wa uhakika kupush tim kwenda mbele nikiwakumbuka maschareno na Alonso
Tukitaka mtu Kama Mascherano hayupo mbali Yule Pale Kibabu cha chuma Leicester Kante.
Tuna angalia ndo halftimewanaKops mko kimya as if hatuna game, au mmesahau
Kabisa mkuu zile mpira unatakiwa wakauchukue kwenye nyavu... LFC 1-0 sio mbaya ukitegemea hatukucheza vizuri bora kushinda Ugly kuliko kufungwa au kucheza uzuri ufungwe. Naomba January ifike mbali kweli Mwakani.Benteke kakosa goli, yeye na kipa. Goal geter aina ya Suarez hawakosi nafasi kama zile.
Katupa points 6 ktk mechi hizi mbili!Anahitaji marekebisho kidogo sana ili awe bora duniani na Klopp atambadilishaBenteke ni mzigo huu, unakosa goli za wazi mara mia glass boy
Let's hope so.Katupa points 6 ktk mechi hizi mbili!Anahitaji marekebisho kidogo sana ili awe bora duniani na Klopp atambadilisha
Hendo aliumia...alilazimisha tu kucheza!Hii Sub imetulia Sana, Henderson out Lucas in.. Dizain Hendo ameumia.
Kwa type ya players tulionao ni ngumu kwa Benteke kuflourish kama suarez ama torres kwasababuKatupa points 6 ktk mechi hizi mbili!Anahitaji marekebisho kidogo sana ili awe bora duniani na Klopp atambadilisha
Tetesi kuwa atakuja Lucaz aliyekuwa nae BVB na sasa yupo Gala ya Uturuki ni kweli?Yule akija Benteke ata shine sanaKwa type ya players tulionao ni ngumu kwa Benteke kuflourish kama suarez ama torres kwasababu
1. Tuna winger mmoja na siyo starter jordon ibe, ili benteke aweze kufanya vizuri tuna hitaji winger wa kutoa cross ambazo ata piga kwa kichwa au kutuliza kifuani na kupiga hapo benteke lazima awe bora
2. Tuna number kumi wengi ambao ni wanyumbulifu(coutinho, lallana,firmino) ambao hawachezi direct football hapo ndipo naona shida ipo kwa benteke
3. Striker ambaye anaweza kujitengenezea nafasi, kukaa na mpira na kutengeneza kwa wengine ndo striker anaweza kupata success pale anfield