Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa jinsi mnavyopenda kumechisha, leo lazima mtoe draw. Juzi mlikuwa 15 games, 15 points and 15th position. Leo mnacheza game ya 16, tunawatakia kila la kheri mpate hiyo 16th point.

Klopp kawa kopo.....
 
1450100996070.jpg Europa Legue fixture
 
poleni sana kwa mashabiki wa Chelsea.......
come next season ntakuwa mabingwa wa championship.... worry not!!!!
 
ITK's wanasema we've signed Leno, bado Vipimo tu..

January inakaribia, so acha tuone kama ni kweli.
 
Migs mkataba mpya duuuuihhhhh anataka asiondoke huru nini?

Atabaki kama 2nd choice GK tu, muda uliobaki mpaka January ni bora Bogdan aanze golini mpaka tutakaposign a new Keeper
 
Watu wana wasiwasi sana na Leicester, but hiyo ni game nyepes sana kwa LFC, coz gegenpressing inahitaj opponents wanaocheza attacking football ili ifanye kazi kwa ufasaha, LFC tunapata tabu tukicheza na teams zinazo park bus na kusubiri counters..ndo maana tunahitaji Winger mmoja mzuri january (Sane, imo)...

i can guarantee you kuwa game ya Leicester tutashinda kirahisi sana.

Mark this post.
 
Kuna tetesi nimeona wanasema tuna msign stefan kiesling january

Sidhani Aisee, Klopp kasema Hatosign ST january, na hiv Origi kaanza kupata confidence naona kabisa akianza kutumika mara kwa mara, and i'd start him upfront next week kama DS na Firmino hawatokuwa fit 100%

Nadhani tutajaribu kwa Leroy Sane January hii..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom