Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
teh teh vipi bentekeMambo ya Origi na deflection yana utamu wake
teh teh vipi bentekeMambo ya Origi na deflection yana utamu wake
Sizani Kama ni hao ndio Wenye makosa Mie naweza kusema makosa Yao kutokujua mpira wa miguu tu ila pesa walizitoa na Brendan Rogers kaziharibu kwa Players wabovu ambao Klopp anaumia kichwa ila ndio kazi yake naamini ataweka tu sawa tukubali tu msimu uishe anunue na kuuza ndio tujue Nani tatizo.
Poleni wakuu hakuna cha mcheza kwao leo ......... ....... ..... kutuzwa.
teh teh vipi benteke
hahahaha acha utani kakaYuko vizuri zaidi ya Waza
hahahaha acha utani kaka
nimekubali. kesho naomba the blues afungweHili halina ubishi kabisa
nataka anisikie kuwa chelsea kesho inafungwa. yule vardy hatari sana
tena mapema sanaNasikia harufu ya mtu kudhalilika kesho
tena mapema sana
hata wewe jibu tu
hata wewe jibu tu
poa kakaUsikonde Mkuu
Pamoja sn kaka......
Mnaota nyie mnafikiri Chelsea ni futuhi?