MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Yaah flannagan anarudi kwenye full training ..... Kuna habari nimeisoma inadai Klopp anaweza mchezesha DS pamoja na injury yake na mbaya anadai hafikirii ku-sign another ST
Yeah, nimeona kwenye presser yake, kasema he wont splash mkwanja wa usajili January, just for the sake of it, lol
leo nahis Benteke/Origi mmoja wapo ataanza mbele, Firmino anaweza akapumzika leo, ila ningependa kuona ile front three ya Cou, lallana and Firmino as false #9..