Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaah flannagan anarudi kwenye full training ..... Kuna habari nimeisoma inadai Klopp anaweza mchezesha DS pamoja na injury yake na mbaya anadai hafikirii ku-sign another ST

Yeah, nimeona kwenye presser yake, kasema he wont splash mkwanja wa usajili January, just for the sake of it, lol

leo nahis Benteke/Origi mmoja wapo ataanza mbele, Firmino anaweza akapumzika leo, ila ningependa kuona ile front three ya Cou, lallana and Firmino as false #9..
 
Lol, Tony Pulis Vs LFC, it doesnt get any easier, atakuja kupark bus na kucheza Counter, Wakipata fouls 2/3 nje ya box letu, lazma watuue moja, Yule Brunt ana mipira mibaya sana kwenye Set pieces, na sisi kwenye kudefend katika Set pieces ni wabovu sana..ni kitu cha muhimu sana kuzingatia hicho, zile silly fouls na Corners zisizo na msingi siyo za kuziruhusu, uimara wao upo maeneo yao.
 
Yeah, nimeona kwenye presser yake, kasema he wont splash mkwanja wa usajili January, just for the sake of it, lol

leo nahis Benteke/Origi mmoja wapo ataanza mbele, Firmino anaweza akapumzika leo, ila ningependa kuona ile front three ya Cou, lallana and Firmino as false #9..

Kwa sasa mimi ningemchagua Origi over Benteke ...

Hisia zangu zinanituma kuona firmino kwa dakika zote 90 hivyo yawezekana kabisa combo yao itarudi, firmino naona tu anakosa mtu wa kucheza naye sioni kama yupo kwenye form mbaya ya kukaa bench maana ile combo yake na Benteke wali-complete only one pass
 
Line up ya leo
 

Attachments

  • 1450019396453.jpg
    1450019396453.jpg
    29.3 KB · Views: 128
Kwa sasa mimi ningemchagua Origi over Benteke ...

Hisia zangu zinanituma kuona firmino kwa dakika zote 90 hivyo yawezekana kabisa combo yao itarudi, firmino naona tu anakosa mtu wa kucheza naye sioni kama yupo kwenye form mbaya ya kukaa bench maana ile combo yake na Benteke wali-complete only one pass
Umesema kweli kuhusu Benteke Wanapata Tabu kumchezesha LFC ila Firminho na Milner Mie bado wananiuzi na Furaha ya Coutinho in Sturidge. LFC Leo Emre anatakiwa kupanda ndio tutashinda tatizo sie tukipata Goli moja Kasi tunapunguza, unamuona Klopp anakasirika mikono anawambia wapende ila emre can na Skertel na lovren wanarudisha tu mpira nyuma, muhimu kwenda Mbele Kasi wachanganyikiwe lasivyo watatuotea makona na ma freekick Yao ya uongo na kweli.
 
Wengine tulishajisemeaga siku nyingi humu (na ninaamini J Klo naye sasa tayari ameshaanza kutambua hili) kuwa jipu lililopo Anfield si uzuri au ubaya wa kocha.

Hawa FSG hawa....hawa ndiyo jipu lenyewe hawa!!
 
Wengine tulishajisemeaga siku nyingi humu (na ninaamini J Klo naye sasa tayari ameshaanza kutambua hili) kuwa jipu lililopo Anfield si uzuri au ubaya wa kocha.

Hawa FSG hawa....hawa ndiyo jipu lenyewe hawa!!
Sizani Kama ni hao ndio Wenye makosa Mie naweza kusema makosa Yao kutokujua mpira wa miguu tu ila pesa walizitoa na Brendan Rogers kaziharibu kwa Players wabovu ambao Klopp anaumia kichwa ila ndio kazi yake naamini ataweka tu sawa tukubali tu msimu uishe anunue na kuuza ndio tujue Nani tatizo.
 
It's time for the Kop to start pondering over whether sacking Brendan Rodgers at this stage of the season was a right thing or not.

Obviously imedhihirika sasa kuwa tatizo letu si uzuri/ubaya wa kocha. Ugonjwa wetu upo deeper zaidi.
 
We have squandered two clear chances and we have paid bitterly
 
Poleni wakuu hakuna cha mcheza kwao leo ......... ....... ..... kutuzwa.
 
Poleni wakuu hakuna cha mcheza kwao leo ......... ....... ..... kutuzwa.

Leo tulikuwa ugenini hahhahahahahahahahhahahahha, msimu hiu anfield ndo sehemu tumepoteza point nyingi kizembe
 
Spurs Leo kachapwa game hizi za timu ndogo lazima tujifunze kucheza Ugly nazo Leo Benteke ndio chanzo kila mpira anampigiwa wanafurahi mabeki wa westbrom Wawili wanambana vizuri, dawa ya timu Kama Westbrom unadumbukia na mpira watacheza foul sio cross ila Bora Point kuliko Zero. Mignolet naye anatuchosha sasa ila Klopp mwisho kuchukua wachezaji kwenda kushangilia na Mashabiki kimenishangaza ila ndio Ujerumani wanavyofanya Pengine anataka Mashabiki na wachezaji kuwafundisha kitu Pengine sie hatujui.
 
Hivi Mignolet atajifunza lini kwenye kudefend kona like goli la kwanza kuna kuna uzembe wake kabisa

Benteke kwa mpira huu ni upotevu wa kipaji chake his movement bado haziendani na attacking midfielder.

Coutinho na Lallana wanakosaje zile two clear chances? Why can't they learn when to shoot and when to release the ball? To have two holding midfield na yenye ilikuwa tatizo henderson badi hajawafit 100%
 
Am so annoyed. Tungeshinda vs Newcastle na leo tungekuwa 5th and tied on points with Manure.

So so annoyed!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom