Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Flannagan set to return next week

mmmmh, i doubt it, labda itakuwa anarudi katika Full training, lakini kwa matches nadhan bado, but lets wait and see, ila Sakho ndo amerud kwenye full training and Klopp amesema Kama hatopata tatizo lolote, then he'll be fit to play against Watford next weekend (20dec) ambapo na DS atakuwa fit tayari.
 
mmmmh, i doubt it, labda itakuwa anarudi katika Full training, lakini kwa matches nadhan bado, but lets wait and see, ila Sakho ndo amerud kwenye full training and Klopp amesema Kama hatopata tatizo lolote, then he'll be fit to play against Watford next weekend (20dec) ambapo na DS atakuwa fit tayari.

Fitness ya DS mi hata sina nayo guarantee kabisa
 
anybody kishawah muona huyu dogo Marko Grujic tunaemtaka akicheza (i mean 90mins zote?) he's 19 and price tag yake ni ?5m tu, baadhi ya watu waliomuona wanasema anacheza kama Neves wa Porto, ni target ya January, ashakutana na LFC officials for dinner na inasemekana Klopp mwenyewe alimtumia msg...anacheza league ya Serbia, na kwa upande mwingine watu wa serbia wanasema ni another Matic...kama Klopp anamuhitaji na kumrate yote kheri, lakin kwangu mimi Neves ni good option, serbia league yao ni nyepes kulinganisha na Portugal. nahis watakuwa wameenda kwenye cheaper option, and ukizingatia Neves anaogopa kumove katikati ya msimu (January)
 
anybody kishawah muona huyu dogo Marko Grujic tunaemtaka akicheza (i mean 90mins zote?) he's 19 and price tag yake ni ?5m tu, baadhi ya watu waliomuona wanasema anacheza kama Neves wa Porto, ni target ya January, ashakutana na LFC officials for dinner na inasemekana Klopp mwenyewe alimtumia msg...anacheza league ya Serbia, na kwa upande mwingine watu wa serbia wanasema ni another Matic...kama Klopp anamuhitaji na kumrate yote kheri, lakin kwangu mimi Neves ni good option, serbia league yao ni nyepes kulinganisha na Portugal. nahis watakuwa wameenda kwenye cheaper option, and ukizingatia Neves anaogopa kumove katikati ya msimu (January)

Bado tuna deal na academy players? Neves tumemuona kwenye champions league akifanya yake tena against chelsea
 
anybody kishawah muona huyu dogo Marko Grujic tunaemtaka akicheza (i mean 90mins zote?) he's 19 and price tag yake ni ?5m tu, baadhi ya watu waliomuona wanasema anacheza kama Neves wa Porto, ni target ya January, ashakutana na LFC officials for dinner na inasemekana Klopp mwenyewe alimtumia msg...anacheza league ya Serbia, na kwa upande mwingine watu wa serbia wanasema ni another Matic...kama Klopp anamuhitaji na kumrate yote kheri, lakin kwangu mimi Neves ni good option, serbia league yao ni nyepes kulinganisha na Portugal. nahis watakuwa wameenda kwenye cheaper option, and ukizingatia Neves anaogopa kumove katikati ya msimu (January)

Neves ni best recruit to the squad, wampe mafungu klopp kama waliyokua wanampa BR, waache kumbania wasije mbele kushikana mashati, labda kama yeye mwenyewe klopp ka opt kwa uyo Grujic
 
Shida yetu inabakia kwa wale spana mkononi wawili wa mbele

mmmmh, i doubt it, labda itakuwa anarudi katika Full training, lakini kwa matches nadhan bado, but lets wait and see, ila Sakho ndo amerud kwenye full training and Klopp amesema Kama hatopata tatizo lolote, then he'll be fit to play against Watford next weekend (20dec) ambapo na DS atakuwa fit tayari.

Yaah flannagan anarudi kwenye full training ..... Kuna habari nimeisoma inadai Klopp anaweza mchezesha DS pamoja na injury yake na mbaya anadai hafikirii ku-sign another ST
 
Bado tuna deal na academy players? Neves tumemuona kwenye champions league akifanya yake tena against chelsea

ni established player kwenye club anayochezea huko Serbia (Red star Belgrade), Barret, Smith, Pearce, Dom King, Paul Joyce wote wanasema tunamtaka..ni mkubwa kwa Neves, Neves is 18, yeye ni 19, but Neves tayar ana Experiance kiasi chake.
 
Neves ni best recruit to the squad, wampe mafungu klopp kama waliyokua wanampa BR, waache kumbania wasije mbele kushikana mashati, labda kama yeye mwenyewe klopp ka opt kwa uyo Grujic

nahisi Klopp mwenyewe atakuwa kaopt kwa huyo dogo, manake Barret anasema pia anawataka Sane na Subotic, na ilishawekwa clear kuwa Kutakuwa na 2 big signings Summer inayokuja, so nahis wameona waende kwa huyo dogo, Neves anacost ?30m+, maybe wanasave kwa ajili ya Summer Klopp anamtaka Gundogan kwenye dirisha la Summer....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom