Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama ni hivyo mbona Dortmund haikuwa tishio kwa hizo team ulizozitaja? Coz Klopp alikuwa coach wa Dort

Zile nne alizopigwa madrid na lewy pale signal park coach wa dortmond alikuwa nani?? Kwa bayern haina haja ya kukuelezea
 
Umepoteza kumbukumbu mara hii?
Klopp kachukua Bundesliga mara 2 tena mfululizo then Bayern wakaja na idea ya kuwanyong'onyesha kila mwaka kwa kuchukua wachezaji wake nyota,alipo waambia management wagome kuwauza wakakataa na akaondoka

Klopp kaiongoza low badgeted BVB kucheza fainali ya champion League miaka 3 iliyopita,nenda kaone alimfagia nani hadi kucheza fainali


Hahahaaa!! Sawa mkuu
Let wait n see
Time will tell kwa Liverpool
 
Majogoo mnatisha babake!!! Mmecheza mpira hongereni mashabiki
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom