Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahaaha usitake nicheke Ntuzu nitajitahidi kumleta yupo ICU anapumulia mashine tumuombee

Oooooh my God........

Wakuu wote mlioniita nawashukuru sn ...

Siwezi kuwataja kwa majina mmoja baada ya mwingine lkn napenda mjue kua ndo nimetoka ICU leo. Hali mbaya sn.

Mengi tutaongea January 1. 2016.

Naona @Kloop amemtoa mafichoni Pazi......
 
Last edited by a moderator:
Hili chama litakaa sawa tutulie wkt mambo yanaiva,ila pia tukiangalia mpira tuwe tunachambua makosa na viwango vya wachezaji ktk mechi yetu husika.
 
Kwaiyo kwa history hiyo ni wapi mlipo jikwaaa na ungepewa fursa ya kuwa mshaur ungeishauli nini liverpool
 
3 years at Anfield and Mignolet hajaImprove kwa chochote
 
Mignolet Lovren and skrtel for 2 months...hahaha, we're screwed..
 
How??.....

Goal la pili lile la scott Dann si uliliona? hata goal la kwanza lile..and siyo mara ya kwanza Migs anafungwa magoli ya kawaida sana, kuna goals ambazo keeper anafungwa unasema his CBs should've done better, lakin Migs, mpira wakiushindwa CB wake, basi ujue lolote linaweza likatokea..kuna siku anaweza akawa yupo kwenye ubora wake kabisa, (everton na chelsea) but siku akiwa m-bovu ndo kabisa yaani...anahitajika keeper mwingine pale LFC, Migs itabid awe 2nd choice GK.
 
Klopp anatakiwa ajue, mchezaji kama Lallana siyo wa kuanza kabisa, kwann asimjaribu Tex?? lallana ni mchezaji wa kawaida sana..
 
Klopp needs a new GK, new RCB, DM, and LAM, and maybe a Striker..
 
Goal la pili lile la scott Dann si uliliona? hata goal la kwanza lile..and siyo mara ya kwanza Migs anafungwa magoli ya kawaida sana, kuna goals ambazo keeper anafungwa unasema his CBs should've done better, lakin Migs, mpira wakiushindwa CB wake, basi ujue lolote linaweza likatokea..kuna siku anaweza akawa yupo kwenye ubora wake kabisa, (everton na chelsea) but siku akiwa m-bovu ndo kabisa yaani...anahitajika keeper mwingine pale LFC, Migs itabid awe 2nd choice GK.

Magoli ya juzi sina sehemu ya kumlaumu Migs sababu marking ya CBs wetu haikuwa ya uhakika ..... We can start nice again
 
Magoli ya juzi sina sehemu ya kumlaumu Migs sababu marking ya CBs wetu haikuwa ya uhakika ..... We can start nice again

Nope, goal la Dann hata kama Marking ilikuwa mbovu, Migs should've done better there, Waangalie kina De Gea, Adrian au Hata Butland.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom