mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Yes tofauti inaonekana kubwa sana Hongereni leo hadi Sket kaonekana!!! Mi niwapongeze tu kwa kweli.......ila bado mna point zangu tatu hapo mwakani....lol
Kwa mwendo huu sidhani kama mna lenu tena. Katika big mechi nne, BR katoa draw na arsenal, kupigwa na man utd, JK kashinda kwa chelsea na man city na nyie mtafuta trend hiyo hiyo maana mtakua machinjioni anfield