Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kufungwa jana na C palace....imeniuma sana....nilisahau gari bar nikapanda daladala kufika karibu na home ndio nikakumbuka kua kumbe nilienda pale mikasa club na gari.....niliumia sana aisee
 
Mkuu, sikubahatika kuona mechi yetu week hii nimeona watu wakiwa disappointed na performance ya little magician

Labda TV ya jana ilinidanganya ... He did well too ... Crystal bahati iliwalalia ... Ila pia defense yetu ilifanya makosa ya kizembe kwa those two goals
 
Yaani hata JF hataki kuingia Ntuzu upatapo ujumbe huu tunakupenda tumekumiss, Ni kumfunga cha Katrina tu hiki kinapita...

Mi nadhani shida chelsea ni mourinho, wale wachezaji wana taka afukuzwe tu reason behind nj issue ya Dr eva, mbona kwenye champions league wachezaji wake walikuwa na desire kulinganisha na game tu?

Mourinho ana option mbili either afumue timu nzima na kuleta wachezaji wapya which i think is very unlike to happen or to be sacked
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom