Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahhahahaha nimekupenda ulivyochange mada ghafla maana ulijua kinachofuata......mtani unanikwepa sana ila pole kwa yote...lol

Teehe mtani uko vizuri kusoma between the lines....... Nakukwepa sababu hujacheza kigodoro siku nyingi humu .... Asante mtani .... Lakini Mention yangu hujaiona humu?
 
Binafsi huwaga sikubalianagi kabisa na notion ya eti "the best team lost" - no freaking way.

Whoever wins on the day is actually that day's best team. No kukatakata kona.

Tukubali tu kuwa our defending is rubbish. Klopp needs to fix this, and fast ama sivyo Kop itamgeuzia kibao kama mwenziwe aliyeoondoka!
 
Binafsi huwaga sikubalianagi kabisa na notion ya eti "the best team lost" - no freaking way.

Whoever wins on the day is actually that day's best team. No kukatakata kona.

Tukubali tu kuwa our defending is rubbish. Klopp needs to fix this, and fast ama sivyo Kop itamgeuzia kibao kama mwenziwe aliyeoondoka!

Well said .....kunywa kapepsi kabaridi naja kulipa.....cc Malafyale
 
Last edited by a moderator:
Teehe mtani uko vizuri kusoma between the lines....... Nakukwepa sababu hujacheza kigodoro siku nyingi humu .... Asante mtani .... Lakini Mention yangu hujaiona humu?

Nimeiona leo mtani......mtani weekend ilikuendea vibaya kweli great house mpka small house chaliiii naona umeamua kuwa mzalendo tu kwa Samata na Ulimwengu....hahahaha
 
eti leo anasema Afrika kwanza.

Tupende vya kwetu mkuu ..... Black is power 😎😎😎

Na wewe umeingia kingi ukasahau hata lengo la kumsalimia.....hahhahahaha Ed n Edd nEddy ni nomaaa!!

Hahaaaaa mtani

nawait ajibu tena then nitampa salamu zake

Saa hizi mkuu salam ziwe zinalenga hii international break tu

Hahahaha chezea kufungwa wewe lazima ukwepe mishale...

Ulitupania hadi lengo lako limetimia kweli
 
Last edited by a moderator:
Binafsi huwaga sikubalianagi kabisa na notion ya eti "the best team lost" - no freaking way.

Whoever wins on the day is actually that day's best team. No kukatakata kona.

Tukubali tu kuwa our defending is rubbish. Klopp needs to fix this, and fast ama sivyo Kop itamgeuzia kibao kama mwenziwe aliyeoondoka!

Atajifunza kitu Jana alikiri kile kitendo cha mashabiki kuondoka uwanjani kilimfanya ajihisi mpweke sana. Akipata saga kama za BR zile za last season na season hii ata-resign mwenyewe ana moyo mwepesi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom