everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mie najua wengi wanampenda Firminho anavyocheza ila sio Mie, Mie napenda wachezaji wale funika funua enzi za kina Viera Keane zimepotea ila tumecheza Game vizuri asingemtoa Emre angemtoa Lallana, Klopp atajifunza mengi Uozo wa timu tunahitaji enzi za watu ma shuti ya nje Benteke analetewa mpira na anacheza vizuri ila across nyingi bado Butu zingekuwa zimeenda shule Leo nyavu hata 3 , tutaanza kusikia SG arudishwe ndio sitotizama mpira Kabisa wakirudisha SG hii January ikija.
Pole sana mtani siku nyingine beat linakataa kwenda na step,ukiipiga chini karibu Man U sisi wote reds hutapungukiwa....lol