Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Daaah hali mbaya sana kwa kweli
sio kidogo hasa ukiona Game timu inacheza vizuri then unafungwa inauma sasa nasikia na kujua maumivu ya Chelsea Sema tofauti sie hatuna wachezaji wengi wakumalizia game ndio tatizo katikati kunajuhudi ila sio ile ya majembe ya kurusha watu nakutawala uwanja katikati ya uwanja ila Klopp naona mengi anayojaribu hasa kwa Ibe sasa hivi anajuwa kwenda Mbele bila kurudi nyuma ila Lallana na firminho for me ni Boring players Kama nyuma nilivyosema January ay Summer ya msimu ujao ndio kutakuwa na timu ya kumuhukumu Klopp.
 
Mie najua wengi wanampenda Firminho anavyocheza ila sio Mie, Mie napenda wachezaji wale funika funua enzi za kina Viera Keane zimepotea ila tumecheza Game vizuri asingemtoa Emre angemtoa Lallana, Klopp atajifunza mengi Uozo wa timu tunahitaji enzi za watu ma shuti ya nje Benteke analetewa mpira na anacheza vizuri ila across nyingi bado Butu zingekuwa zimeenda shule Leo nyavu hata 3 , tutaanza kusikia SG arudishwe ndio sitotizama mpira Kabisa wakirudisha SG hii January ikija.
 
Watu tunamiliki mpira lkn shot on target tunalingana wkt tumewazidi kimchezo?mi niseme tu dani sturrige ndio dawa pale mbele.
 
sio kidogo hasa ukiona Game timu inacheza vizuri then unafungwa inauma sasa nasikia na kujua maumivu ya Chelsea Sema tofauti sie hatuna wachezaji wengi wakumalizia game ndio tatizo katikati kunajuhudi ila sio ile ya majembe ya kurusha watu nakutawala uwanja katikati ya uwanja ila Klopp naona mengi anayojaribu hasa kwa Ibe sasa hivi anajuwa kwenda Mbele bila kurudi nyuma ila Lallana na firminho for me ni Boring players Kama nyuma nilivyosema January ay Summer ya msimu ujao ndio kutakuwa na timu ya kumuhukumu Klopp.

Bosi upo kumbe?

Poleni sana mkubwa ... angalia tuu usije ukavunja Tv kama kipindi cha Brendan

Lini kampeni ya Klopp out inaanza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom