Huyo dogo ni attacking mid, mi nadhani angetoa nafasi kwa youngsters wa pale academy na wale wakubwa, markovic ni attacking mid, firmino, coutinho, texiteira.
Yule mtoto kent anajua sana yule nimeona kwenye liverpool echo wanasema amerudi melwood after his loan spell ended, ni bora awape nafasi isije kuwa kama BR analeta wachezaji wengi anashindwa kuwatumia
Allen, enrique, toure waondoke aisee arudishwe tiago illori apewe chance ya kuanza na sakho dogo yupo composed sana anaweza absorb pressure ya game. Yule Joe gomez mi namuona kama ana weza kuwa transformed na kuwa defensive midfielder.
Kwenye timu yetu tuna shida kwenye defense na defensive midfielder
Kent nasikia ni rumaz tu, hajarudi Anfield..manake watu walikuwa wanasema Klopp amemuhitaji, lakin Source kutoka Conventry alipo kwa mkopo, znasema bado yupo sana kule..
Yule sane me naona aje tu, achukue nafas ya Origi katika First team, manake pia anaweza kucheza kama wide attacker, na ukichukulia tuna shortage ya wingers sahv, wale kina Harry Wilson sidhan kama wataCut it any time soon kwenye first team, tunahitaj sana Left footed winger, and Sidhan kama Klopp atamtumia Markovic kama Winger, Markovic huwa ni mzuri akitokea katikati..syo pemben, wakat yupo Benifica alikuwa anacheza sana nyuma ya ST...
Sane atasaidia sana mbele, sahv hatutakiwi kuongeza number 10s tunao wengi sana Cou, lallana, Firmino, Tex, etc...ni kuongeza winger mmoja (left footed).. RCB, DM mmoja na LCM mmoja..
kwa january, nahis kama tukisajili, nadhan itakuwa ni huyo Sane/attacking winger mwingine..na pale katikati..
sidhan kama Howedes anaweza akamove january, ni mara chache sana clubs zinaachia macaptain wao katika dirisha la January, lakina ana buyout clause, so lets see itakuwaje..
kwa eneo la katikati naona Neves/ile number 6 ya Sevilla (ana jina gumu, atatupa tabu kulitamka kama akija)..Gundogan kama namba 8 (perfect SG's replacement) nahis tutadeal naye summer, ila sidhan kama itahappen hiyo deal, manake karudi kwenye form yake sahiv ni hatar sana, madrid/bayern/barcelona hawakawii kwenda kugonga hodi...ila kama Madrid/bayern/barcelona hawatodeal naye tuna chance kubwa ya kumchukua, tupo na Godfather wake katika dunia ya mpira, it will take just ONE PHONE CALL..
nadhan pia tutahitaj ST mwingine, Sturridge ni liability, Origi bado sana, anahitaj loan move nyingine..