The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Klopp yupo busy anaangalia the last 20 games za LFC kupitia DVD
Hahaha kwani jamaa background yake alishawahi kuwa BONDIA.....?
Kasema baada ya miaka 4 mtakuwa PL champions, wakati kapewa 3yrs contract. Tusubiri tuone ma atameza maneno yake. Jamaa ameanza na mbwembwe kama Mourinho. Afu huyu jamaa anaonekana anaweza kuweka mkono, kocha wa upinzani akimletea za kuleta anaweza kumtoa ngeu.
Inasemekana tunakarbia kumsign RUBEN NEVES, dogo ana miaka 18 tu ni CM/Deep laying Playmaker, hucheza mbele ya backline..wengi watakuwa wanamkumbuka kwenye ile game dhid ya Chelsea juzi hapa dhid ya Porto, dogo alikipeleka shule kiungo chote cha Chelsea na ana miaka 18 tu..inasemekana kina Fallows (committee) walianza kumfukuzia kabla hata klopp hajaja, price tag yake ni £29m..
Kasema baada ya miaka 4 mtakuwa PL champions, wakati kapewa 3yrs contract. Tusubiri tuone ma atameza maneno yake. Jamaa ameanza na mbwembwe kama Mourinho. Afu huyu jamaa anaonekana anaweza kuweka mkono, kocha wa upinzani akimletea za kuleta anaweza kumtoa ngeu.
Tunaweza kupata mabadiliko~lakini tim mmejaza mashoga tele wa kingereza.kaz ya prom mpira hakuna