Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo Furaha yupo Klopp ila kikosi bado sikiamini Spurs wanaweza kushinda 2-1 ila Kama Klopp anaweza kuwapush Players na Players wa kafanya wanachoambiwa tunaweza kushinda 2-1 muhimu in Klopp timu aisogeze pazuri angalau January tuwe hata wa 5 hivi then awatoe magarasa kwa Leo sioni ushindi ila kujituma players wanatakiwa ili Klopp ajue afanye kazi gani timu ikirudi Anfield(home)
 
...pressing...pressing...pressing...but can they sustain this kind of tempo...
 
Leo Furaha yupo Klopp ila kikosi bado sikiamini Spurs wanaweza kushinda 2-1 ila Kama Klopp anaweza kuwapush Players na Players wa kafanya wanachoambiwa tunaweza kushinda 2-1 muhimu in Klopp timu aisogeze pazuri angalau January tuwe hata wa 5 hivi then awatoe magarasa kwa Leo sioni ushindi ila kujituma players wanatakiwa ili Klopp ajue afanye kazi gani timu ikirudi Anfield(home)

LOL. Muda si mrefu mtataka na yeye atimuliwe. Ili tuone uzuri wa Klopp mtahitaji wachezaji wengi na walio wazuri. Msimu ujao ndiyo tutaweza kuona makeke ya Klopp sio huu, akiwafikisha top 4 na wachezaji hawa itakuwa massive achievements
 
LOL. Muda si mrefu mtataka na yeye atimuliwe. Ili tuone uzuri wa Klopp mtahitaji wachezaji wengi na walio wazuri. Msimu ujao ndiyo tutaweza kuona makeke ya Klopp sio huu, akiwafikisha top 4 na wachezaji hawa itakuwa massive achievements
Huyu sizani Kama nitataka atimuliwe hata akifanya vibaya Klopp anaonekana anajuwa nini anafanya anawachezesha kwa mikono wachezaji ndio inavyotakiwa Leo kwa muda mrefu nimetizama LFC bila wasiwasi hasa mabeki ila Origi ni Poor mpaka Coutinho akawa hamuamini kumpa mpira ila Leo ukitoa Lallana Kuwa Lazy na Milner kuvamia wachezaji bila Akili Leo tumecheza kwa utulivu zaidi Klopp anasoma wachezaji. Siipendi draw ila Bora draw na Spurs kuliko kutoka draw na Norwich au Sunderland.
 
Huyu sizani Kama nitataka atimuliwe hata akifanya vibaya Klopp anaonekana anajuwa nini anafanya anawachezesha kwa mikono wachezaji ndio inavyotakiwa Leo kwa muda mrefu nimetizama LFC bila wasiwasi hasa mabeki ila Origi ni Poor mpaka Coutinho akawa hamuamini kumpa mpira ila Leo ukitoa Lallana Kuwa Lazy na Milner kuvamia wachezaji bila Akili Leo tumecheza kwa utulivu zaidi Klopp anasoma wachezaji. Siipendi draw ila Bora draw na Spurs kuliko kutoka draw na Norwich au Sunderland.

Kumbuka Man City walipigwa hapo goli nne kwa moja!
Am happy with the draw...considering the injuries we have.
 
1445086232808_lc_galleryImage_SPT_GCK_171015_Barclays_P.JPG 1445082545543_lc_galleryImage_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_17.JPG 1445084364533_lc_galleryImage_17_October_2015_Barclays_.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom