Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu
Zaidi ya Sakho sijaona beki ya kubaki pale utawala wa mchawi wa soka Klopp!Maana Klopp ana amini beki na viungo ndiyo wanakupa ubingwa!Sioni tena nafasi ya ajina Henderson hapo ataleta wake
CC Pazi
Duh! hongereni, naunga mkono, beki pale ni Sakho tu, Sakho yupo quick anahitaji beki wa ku-compliment nae, Klopp amshawishi Hummels au Subotic aungane nae.
 
Last edited by a moderator:
Br babies,allen,oligi na wenzao nahisi wameshaanza kujiandaa kisaikolojia..
 
.........
 

Attachments

  • 1444372158509.jpg
    1444372158509.jpg
    19.3 KB · Views: 158
ni siku nzuri saaaaaaana kwa LFC fans, but ndugu zetu naona wanatumia hii nafas kuipromote shitty LFCTV
 
waiting for somebody to upload the press conference....fvck LFCTV.
 
LFCTV ina shida gani kwani naona unaipondaponda sana

Washuzi sana wale mkuu..streams zao online zinakata sana, then unakuwa unalipia bure tu..

Watu wengi wameacha kuilipia online, so wameona ni bora kuitumia hii nafas kuipromote LFCTV AND LFCTV GO..and watu wengi wamelipia service online nimeona..

Ukijaribu hata kuangalia games za U16, U18. U21 etc ni shida sana..streams ni mbovu zinakata sana, interviews za wachezaj na staff members mpaka ziwe recorded ndo waweza kuangalia vizuri, lakin zile za moja kwa moja ni shida..

Ingekuwa better sana kama contents zote za hizi Tv wangeziweka kwenye upande wa *decoders* but huwa wanachagua baadhi ya contents, nying sana zipo kwenye *internet* ambapo ni lazma ulipie kuangalia..asa sisi outsiders ndo tunapata tabu zaidi.
 
Klopp "the Normal one" vs Mourinho "the special one aka the Moaning one" itafanyika lini?
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

Similar Discussions

Back
Top Bottom