Tumepatwa na majeruhi wengi mwanzoni mwa msimu tuna wachezaji kama 3 wanaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu Danny Ings na gomez tutawaona msimu ujao ibe na yupo majeruhi.
BR hakuwa na mvuto kwa well established players, JK kaja hoedewes anataka kuja anfield, ilikuwa ni uamzi sahihi kuachana na rogers
Ibe siyo that serious kabisa..
List ya Majeruhi
1. Firmino- back in 10 days
2. Benteke - back in 12 days
3. Henderson - back in "Mid-november"
4. Flanagan - back in 2 months
5. Danny ings -back in 6-9 months (no date, basically nje masimu mzima)
6.Joe Gomez - (same as Ings)
Klopp amesema Bobby and benteke watarudi dhidi ya Southampton at Anfield.
Rosister naye harmstring
This is bad news bro, Ings alikuwa ameanza kuchanganya...shit!
Origi?Not conviced at all with the boy .Never seen striker's qualities from hiim.Kwakweli hata sijui kipi kizuri kimoja kilimfanyta huyu origii asajiliwe liverpool.
We've no choice, nilidhan sturridge anaweza hata kumake the bench, lakini wapi, yule jamaa ni mzigo kwenye team, auzwe tu tutafute ST's wengine...
Glass boy kaumia tena?