Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Loserfoool katika ubora wetu.
tufungwe tuu maana hamna namnanyingine.
Duuh ila man u sio watu wazuri kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Nmeshawai kusema huko nyuma kwamba Man U wanatufungaga tukiwa wazuri ko mie sina wasiwasi ukiangalia hata ile faulo na penati ni uzushi mtupu...

BR nataka afukuzwe haraka sana....
 
Nmeshawai kusema huko nyuma kwamba Man U wanatufungaga tukiwa wazuri ko mie sina wasiwasi ukiangalia hata ile faulo na penati ni uzushi mtupu...

BR nataka afukuzwe haraka sana....

Mkuu sasa kama mpo vizuri na penalty na faulo kuwa za kizushi kwanini unataka BR aondoke??
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kocha hamna hapa....natamani na game 3 zijazo tupigwe ili hiki kimeo kiondoke hata before November
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom