Man u wabayaaa
Hivi matokeo ni ngapi ngapi?
Watu wanatukana humu tunawaua bure twende zetu mpz.....
martiaaaal
hahaha kuna watu wamenuna humuKijana hatari sana
hahaha kuna watu wamenuna humu
pole yao sanaWanune tuu maana huu ni msiba
Siamini kama kuna mtu anamchukia BR kama mimi.
Kama hawataki kumfukuza na yeye hakubali kufa, sijui tufanyeje??
Ona tunafungwa na beki. Keimamae sana!!
Yan huyo jamaa kanifanya nisiwe naangalia mechi za Liverpool!