Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nzi muda mwengine anasema kweli japo watu wanachukia ila ndio utani watu lazima waukubali Kama anavyosema yeye msitegemee awe anawasifia wakati yeye mwenyewe anajijua kwao ikiwa maji ya Shingo watu mtu wa kwanza kumshambulia ni Nzi so mwacheni Nzi arudi choo chake kichafu ndio wanapoishi mashetani huko na shetani wenzake tehteh ndio anapolala... Everlenk Kasema tukimfunga atakuja kucheza Kigodoro Humu na video link naisubiri sana Hiyo siku ila ukija cheza kwa ustaarabu usimuumize Malafyale na Janjaweed.
 
Nzi muda mwengine anasema kweli japo watu wanachukia ila ndio utani watu lazima waukubali Kama anavyosema yeye msitegemee awe anawasifia wakati yeye mwenyewe anajijua kwao ikiwa maji ya Shingo watu mtu wa kwanza kumshambulia ni Nzi so mwacheni Nzi arudi choo chake kichafu ndio wanapoishi mashetani huko na shetani wenzake tehteh ndio anapolala... Everlenk Kasema tukimfunga atakuja kucheza Kigodoro Humu na video link naisubiri sana Hiyo siku ila ukija cheza kwa ustaarabu usimuumize Malafyale na Janjaweed.

Kwa kiwango chetu hiki sidhani kama tutamfunga Man United!Tuwe wakweli jamani
 
at least this weekend you didn't walk alone, you walked with chelsea and man u, hahahahaaaaa
 
Leo nimekuvulia kiatu lol......hata kama kurithi umerithi vibaya, pacha humu tuna the Shem darling Manga ML pole sana darling, Nina kaka mpenzi kama dawa Malafyale kaka poleee Ed n Edd nEddy pole sana mtani wangu leo sikutanii nahisi nitakuua, Asprin MyLove poleee Sweet Kaizer darling pole sana njoo na Asprin niwafariji mak89 pole best MosDef sijui nikuchekeee aaah ngoja nikuhifadhi kwa leo ila unaniudhi??!!! AllLFCfans

Liverpool & Man U love story is better than Twinlight and 50 shades of Grey.....
Day 1: Liverpool won, Man U won
Day 2 Liverpool won, Man U won
Day 3 Liverpool draw, Man U draw
Day 4 United Lost, Liverpool lost
Day 5: Man U VS Liverpool

Guess what.....???:bange::bange:

CC LiverpoolFC MosDef, Malafyale, Kaizer mak89 Ed n Edd nEddy
 
Last edited by a moderator:
Liverpool & Man U love story is better than Twinlight and 50 shades of Grey.....
Day 1: Liverpool won, Man U won
Day 2 Liverpool won, Man U won
Day 3 Liverpool draw, Man U draw
Day 4 United Lost, Liverpool lost
Day 5: Man U VS Liverpool

Guess what.....???:bange::bange:

CC LiverpoolFC MosDef, Malafyale, Kaizer mak89 Ed n Edd nEddy

Kumbe!!!! Sikulifuatilia hili.......duh!!!! Man u will Win......😎😎
 
Last edited by a moderator:
Liverpool & Man U love story is better than Twinlight and 50 shades of Grey.....
Day 1: Liverpool won, Man U won
Day 2 Liverpool won, Man U won
Day 3 Liverpool draw, Man U draw
Day 4 United Lost, Liverpool lost
Day 5: Man U VS Liverpool

Guess what.....???:bange::bange:

CC LiverpoolFC MosDef, Malafyale, Kaizer mak89 Ed n Edd nEddy

Mkuu kiukweli hii sept 12 ukiweka ushabiki pembeni nafasi ya ushindi hakuna hata droo ni ndogo sana.

Hebu fikiri game bila the little magician halafu Lovren ndani kweli Mata hata pata goli la msimu tena.?

Hapa labda kudra za Muumba zituokoe tu
 
Last edited by a moderator:
Rodgers kamtoa Markovic kwa mkopo, now hatuna any direct winger, sahiv anataka kumtoa Ilori kwa mkopo..

Leeds utd, Newcastle, Aston villa zilianza hivi hivi mpaka kufika huku chini zilipo, hii LFC inakoelekea inaweza ikaja kukosa hata "wanunuzi" coz brand inazidi kufifia tu..nilipoongea hapa kuwa pre-season ya sahiv ilikuwa ni ya hasara, watu wakaona nina agenda, team yetu inapoteza mvuto kwasababu ya madudu yanaoendelea pale LFC, ni kuanzia kwenye board mpaka kwenye back-room, FSG wanakkubali vipi watoto waondoke kwenye club kipuuzi puuzi?? Kolo toure anafanya nini kwenye club yetu?? Now unataka kumtoa Ilori kwa mkopo wakat first choice CB's wote ni wabovu, how can skrtel and Lovren play in that role ahead of Sakho, hata Aggrey Morris wa bongo asingefanya upuuzi kama aliofanya Lovren kwenye ile game, Yet unataka kumtoa Ilori kwa mkopo..

Na there's no way kuwa big players hawawez kuja LFC, huo ni uongo, Rodgers cant man manage Bigger player, thats kafanya awezavyo kuwaondoa kina Agger, Reina, SG, Na tunasikia kila siku kuwa kuna fall outs zinatokea kati yake na Lucas kwenye dressing rooms na melwood, coz Lucas is not a "Yes man" kama kina Milner na Lallana.:

Unacheza 4-3-3 bila any natural wings??? Firmino anachezeshwa wide? Tangu lini?? Jamaa ni mzuri akicheza behind au sambamba na ST, not Wide, kaja Firmino tukajua tutarud katika Diamond formation, lakin wapi, ST mbele peke yake haifany kazi unless uwe na pacey wingers, Sisi hatuna hao..people were slating Balotelli kuwa hawez kucheza na ni mzembe, but tunachokishuhudia kwa Benteke ndo kile kile tulichokiona kwa Balotelli, anakuwa a
ISOLETED KABISAA, game ya Westham Benteke kagusa mpira mara Tisa tu katika dk 60..MARA TISA...

Tunaweza tukawa tunamlaumu Lallana kuwa hakuna anachokifanya, kumbe ni Rodgers tu anamuharibu jamaa wa watu, Kama Firmino Ile juzi, Talents zinapotea tu, asa mchezaj kama Firmino ukishindwa kumtumia vizuri utamtumia mchezaji gani tena??..

Emre Can ni box to box MF, but anachezeshwa upande wa kulia, sambamba na Lucas, how can you get close to coutinho kwa namna hiyo?? Tupo 2-0, second half, jamaa anaswitch kwenda 2-5-3, hahaha..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom