everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Shukrani sana mtani
Leo nimemwaga chozi nilipomuona Coutinho anatolewa...... Hahaaa nitachukua likizo ila siyo kuhama
Ohhh!!!! Mtani wangu pole sana mpenzi na mimi nimelia kwaajili yako.....
Shukrani sana mtani
Leo nimemwaga chozi nilipomuona Coutinho anatolewa...... Hahaaa nitachukua likizo ila siyo kuhama
Leo nimekuvulia kiatu lol......hata kama kurithi umerithi vibaya, pacha humu tuna the Shem darling Manga ML pole sana darling, Nina kaka mpenzi kama dawa Malafyale kaka poleee Ed n Edd nEddy pole sana mtani wangu leo sikutanii nahisi nitakuua, Asprin MyLove poleee Sweet Kaizer darling pole sana njoo na Asprin niwafariji mak89 pole best MosDef sijui nikuchekeee aaah ngoja nikuhifadhi kwa leo ila unaniudhi??!!! AllLFCfans
Ohhh!!!! Mtani wangu pole sana mpenzi na mimi nimelia kwaajili yako.....
Ohhh!!!! Mtani wangu pole sana mpenzi na mimi nimelia kwaajili yako.....
Mapenzi yako yatimize daima yawezekana kesho Bafitimbi akanifanya nionekane jukwaani
Hivi mamy unajua wamelimwa na red card lol.
Ngoja nikavae sweta nije nikeshe humu
Ushindwe na ulegeee hapo hapoooooo!!!! Kesho clean sheet as usually......ila uinuke mweee!!! Ukilegea mimi nitapona sasa...lol
Loooooool!!!! Umemsahau!!!! Kuna mwingine huyu wembeee pole sanaaa aka nani? Malizia pacha....
Mummy leo hakuna kisingizio kwamba walikuwa kumi ngoma ndroo kumi kwa kumi, halafu pacha hili jukwaa la watu wazima usikute unamcheka daddy wako....lol....tuwasamehe tu kwa leo ila kuna Mmoja huyooo sijui kajificha wapi walahi!!!!!
Inawezekana maana wazee ndio wanashabikia loserfool kama baba mwenye nyumba wangu kanunaa anadai kodi usiku huu huu
Hahahahaha leo unalo halafu ni CCM pia Mbona leo utafukuzwaa!!!! Toroka ujeeeeeee
Hahaaaaaa mtani you made my night thank you ngoja niendele kucheka yawezekana nitasahau mapema hicho kipigo
raheem alijua mapema akibaki liva ndoto yake haitotimia ndo maana kanyatuka na mapemaa kabla umri haujamuacha hongera kwake poleni wana liva wote
Nimemwonyesha hii picha View attachment 281830ka mind hahahaaa
nina bahati mbaya hata kipigo cha leo sijakiona vizuri, BR ame-accelerate ugonjwa wangu ila usitucheke maana bado una mlima wa kupanda kwa swansea kesho ayew si mtu mzuriLeo nimekuvulia kiatu lol......hata kama kurithi umerithi vibaya, pacha humu tuna the Shem darling Manga ML pole sana darling, Nina kaka mpenzi kama dawa Malafyale kaka poleee Ed n Edd nEddy pole sana mtani wangu leo sikutanii nahisi nitakuua, Asprin MyLove poleee Sweet Kaizer darling pole sana njoo na Asprin niwafariji mak89 pole best MosDef sijui nikuchekeee aaah ngoja nikuhifadhi kwa leo ila unaniudhi??!!! AllLFCfans
Majogooo vepeeee cha tatu hicho