Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo nimekuvulia kiatu lol......hata kama kurithi umerithi vibaya, pacha humu tuna the Shem darling Manga ML pole sana darling, Nina kaka mpenzi kama dawa Malafyale kaka poleee Ed n Edd nEddy pole sana mtani wangu leo sikutanii nahisi nitakuua, Asprin MyLove poleee Sweet Kaizer darling pole sana njoo na Asprin niwafariji mak89 pole best MosDef sijui nikuchekeee aaah ngoja nikuhifadhi kwa leo ila unaniudhi??!!! AllLFCfans

Shem darling tufungwe tu huyo kocha haiwezi liver anazidi kuishusha nilitamani leo iwe mechi yake ya mwisho ngoja tuone zinazo fwata
 
Last edited by a moderator:
nina bahati mbaya hata kipigo cha leo sijakiona vizuri, BR ame-accelerate ugonjwa wangu ila usitucheke maana bado una mlima wa kupanda kwa swansea kesho ayew si mtu mzuri

Mimi nimekucheka kwani best?huoni nimekupa poleee mtani wangu? Pole sana best...
 
Shem darling tufungwe tu huyo kocha haiwezi liver anazidi kuishusha nilitamani leo iwe mechi yake ya mwisho ngoja tuone zinazo fwata

Shem darling tatizo ninyi fans hamkinukishi aisee upole umewazidi sana kama ndoa mnajua kuivumilia,juzi hizi mechi Rooney alizocheza vibaya yaani huko mitandaoni kulinuka mbaya mpaka LVG aliongelee plus Rooney mwenyewe kusema kwamba Magoli yatakuja tu, upole wenu is too much aiseee!!!!!
 
Bahati ya mechi mbili mfululizo ndio imekatika hiyo, chubirini kubebwa tena khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Shem darling tatizo ninyi fans hamkinukishi aisee upole umewazidi sana kama ndoa mnajua kuivumilia,juzi hizi mechi Rooney alizocheza vibaya yaani huko mitandaoni kulinuka mbaya mpaka LVG aliongelee plus Rooney mwenyewe kusema kwamba Magoli yatakuja tu, upole wenu is too much aiseee!!!!!

Leo mashabiki wametoka kabla mechi kwisha dalili tosha hakuna anae muunga mkono kocha tulimchukia tangu msimu ulio isha subili tufungwe zifwatazo uone
 
Mimi nimekucheka kwani best?huoni nimekupa poleee mtani wangu? Pole sana best...

Haya pole yako imefika ila shoga yako cute b ameamua kuweka vigodoro humu leo endeleeni kutuombea tu BR afukuzwe mapema tu kabla hali haijawa mbaya maana kucheza alhamisi na weekend sidhani kama itakuwa rahisi kwetu hata kidogo.
 
Binafsi sijashangazwa na matokeo ya liverpool,koz awa liverpool ni level 1 nakina stoke city kwa sasa..
 
Haya pole yako imefika ila shoga yako cute b ameamua kuweka vigodoro humu leo endeleeni kutuombea tu BR afukuzwe mapema tu kabla hali haijawa mbaya maana kucheza alhamisi na weekend sidhani kama itakuwa rahisi kwetu hata kidogo.

Leo nipo na nyie sambamba.. kumbuka dkk ya kwanza nili wa wish mfunge...
Na nilileta update zote..sasa chakula nipike mwenyewe nishindwe kula? Hahagagagaga
 
Ahsante ila umezidi sasa ondoka
Si mliniachia hili jukwaa kwa muda wa dk 95 hamwonekani? Najisemesha tuu mwenyewe naleta update mnasoma kimya kimya..
Hapa leo siondoki nawafariji.
Maana nimeshughudia magoli yote matatu yalivyowaingia
Tufungwe hadi tushuke manchester hapana halipo kwa mwana liverpool yeyote
tukutane Manchester vs Liverpool
Ha ha ha umezidi natamani asibanduke mlangoni hadi kielewke

mwenye nyumba nuksi mweee anadai kodi ghafla ghafla..
Kama huna kodi lazma unywee na kuacha kuinanga liver
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom