Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Ata sigala sijawahi vuta Bruh
aaah wapi aiseee.... lazma uko na mneli, tena siajabu unabembea kabisa na mapowwwwderrr
Maana unabembea kichizi kwenye kichwa chako
Hivi hao wachezaji unaowazungumzia unawajua au ndio unawacheki kwenye bando tu?? maana the more you comment the funnier you get
bwahahahahahaha,, aha aha ahahahahahahaaaaa
You made my day Mr. Smalling