Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Rogers anatakiwa amuweke Sakho au Moreno kushoto sasa Sakho hata Bench hayupo? Kwa Mpira wa Arsenal Yule Gomez atapata Tabu kushoto na asimuanzishe Lallana hii game tukishinda itatupa matumaini ya kujiamini sana game zijazo Leo ndio tutajua Mengi. LFC YNWA!
 
Mignolet, Clyne, Skrtel, Lovren, Gomez, Lucas, Can, Milner, Coutinho, Firmino, Benteke..

FORMATION: 4-3-3

Mkuu@MosDef,

Naomba kuuliza tafadhali...

hivi huyu BR huwa anafikiria kwa kutumia kalio au ubongo kama wanadamu wengine?

Huyo hapo sio LUCAS LEIVA?

Si anataka kumuuza huyo?

Just take a look,

kipenzi chake Joe Allen Ni mgonjwa,Henderson Ni mgonjwa PIA....

Halafu huna LUCAS kwenye timu.....what are you expecting?

Hata huyo FIRMINO kapata starting spot kwa vile LALLANA Ni mgonjwa...

BR ana mauzauza Sana...

anyway,All the best kwa LFC yangu...japokuwa basing on our recent performances...

taking a single point from there tonight will be a miracle....

YNWA.
 
Rogers anatakiwa amuweke Sakho au Moreno kushoto sasa Sakho hata Bench hayupo? Kwa Mpira wa Arsenal Yule Gomez atapata Tabu kushoto na asimuanzishe Lallana hii game tukishinda itatupa matumaini ya kujiamini sana game zijazo Leo ndio tutajua Mengi. LFC YNWA!

Apange team yake apendayo sababu za kufukuzwa ziwe karibu mii anakera natamani tungepoteza hata hizo tulizo shinda
 
Mkuu@MosDef,

Naomba kuuliza tafadhali...

hivi huyu BR huwa anafikiria kwa kutumia kalio au ubongo kama wanadamu wengine?

Huyo hapo sio LUCAS LEIVA?

Si anataka kumuuza huyo?

Just take a look,

kipenzi chake Joe Allen Ni mgonjwa,Henderson Ni mgonjwa PIA....

Halafu huna LUCAS kwenye timu.....what are you expecting?

Hata huyo FIRMINO kapata starting spot kwa vile LALLANA Ni mgonjwa...

BR ana mauzauza Sana...

anyway,All the best kwa LFC yangu...japokuwa basing on our recent performances...

taking a single point from there tonight will be a miracle....

YNWA.

----- sana huyu kaona mechi ngumu ndo anawapanga asio wapenda apate sababu ndo zake mechi kama hizi usimshangae hata balo kua benchi mtu hujawai kumpanga unamstukiza kwenye meche ngumu akiharibu asirike kiakili nimemchukia sana huyu kocha
 
Ushindi leo ni muhimu sana ila si haba kupata pointi 1 .. Sipendi kuona tunapoteza kabisa kwa asernal maana nitashindwa kuwa huru.....

YNWA
 
Ushindi leo ni muhimu sana ila si haba kupata pointi 1 .. Sipendi kuona tunapoteza kabisa kwa asernal maana nitashindwa kuwa huru.....

YNWA

Hahahahahaha unajua makosa ulitoyafanya jana hakika hiki kikombe hakikuepuki.....
 
Just interviewed with sky sport...Lucas is our best DM; BR

Kamsifia ila sijui kama kweli anamtoa kwa mkopo kwenda uturuki, kwa line up hii nahisi kama tuna weza kuwa na positive rtesults
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom