Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa hesabu za haraka haraka katimu kenu kanahitaji angalau World class player 3 ili muweze kuipata nafasi ya 4 japo akuna World class player yoyote atakaye kubali kuja timu yenu, daah nawaonea huruma maana kuna wengine mtazeeka na kufa bila kuishudia tena Liverpool ikirejea tena kucheza UEFA CHAMPIONS LEAGUE, A a a a a a a a a a..

UKIACHANA NA DE GEA AMBAYE ANAONDOKA KWENDA MADRID, team yako ina world class player yupi??? Nitajie hata mchezaji wako mmoja ambaye anaweza akaanza Man city, Chelsea, Barca na madrid (Ukimtoa De Gea)..na ukimtoa Juan Mata, nitajie mchezaji wako hata mmoja ambaye anaweza akaanza LFC na Arsenal..

Hahahahaha....kwahyo kumbe ndugu umekaa unajidanganya kuwa una WC PLAYERS kwenye team yako hahahahah, unajua maana ya "WC CLASS PLAYERS" ndugu??

Inaelekea unawaongopea sana wenzako kitaa hapo..

WC player wa manure ni DE GEA tu...na anaondoka..
 
UKIACHANA NA DE GEA AMBAYE ANAONDOKA KWENDA MADRID, team yako ina world class player yupi??? Nitajie hata mchezaji wako mmoja ambaye anaweza akaanza Man city, Chelsea, Barca na madrid (Ukimtoa De Gea)..na ukimtoa Juan Mata, nitajie mchezaji wako hata mmoja ambaye anaweza akaanza LFC na Arsenal..

Hahahahaha....kwahyo kumbe ndugu umekaa unajidanganya kuwa una WC PLAYERS kwenye team yako hahahahah, unajua maana ya "WC CLASS PLAYERS" ndugu??

Inaelekea unawaongopea sana wenzako kitaa hapo..

WC player wa manure ni DE GEA tu...na anaondoka..

Liverpool.???? Siwezi nikacompare mchezaji wetu yoyote na player wa Liverpool Never... Labda baada ya miaka 2 kaCoutinho kanaweza kakasogea anga za Juan Mata waliobakia ata Everton awakai katika XI Yao, kuanzia coach mpaka wachezaji.. Ukija Arsenal pale ni sanchez, ozil na cech kama de gea akiondoka ndo watakaoweza kuingia ktk timu yangu
 
UKIACHANA NA DE GEA AMBAYE ANAONDOKA KWENDA MADRID, team yako ina world class player yupi??? Nitajie hata mchezaji wako mmoja ambaye anaweza akaanza Man city, Chelsea, Barca na madrid (Ukimtoa De Gea)..na ukimtoa Juan Mata, nitajie mchezaji wako hata mmoja ambaye anaweza akaanza LFC na Arsenal..

Hahahahaha....kwahyo kumbe ndugu umekaa unajidanganya kuwa una WC PLAYERS kwenye team yako hahahahah, unajua maana ya "WC CLASS PLAYERS" ndugu??

Inaelekea unawaongopea sana wenzako kitaa hapo..

WC player wa manure ni DE GEA tu...na anaondoka..
Kitu kimeja nachokuvulia kofia, ni kutojali kupoteza muda wako kubishana na chipukizi wa soka.
 
UKIACHANA NA DE GEA AMBAYE ANAONDOKA KWENDA MADRID, team yako ina world class player yupi??? Nitajie hata mchezaji wako mmoja ambaye anaweza akaanza Man city, Chelsea, Barca na madrid (Ukimtoa De Gea)..na ukimtoa Juan Mata, nitajie mchezaji wako hata mmoja ambaye anaweza akaanza LFC na Arsenal..

Hahahahaha....kwahyo kumbe ndugu umekaa unajidanganya kuwa una WC PLAYERS kwenye team yako hahahahah, unajua maana ya "WC CLASS PLAYERS" ndugu??

Inaelekea unawaongopea sana wenzako kitaa hapo..

WC player wa manure ni DE GEA tu...na anaondoka..

Smalling anacheza chelsea, barca, Shaw anacheza Chelsea, City, Bastian anacheza City, Chelsea, Barcelona, Rojo anacheza City, Chelsea, Darmian anacheza chelsea, city, Madrid, Rooney anacheza chelsea, Madrid, Morgan anacheza Chelsea, Depay anacheza chelsea, city, mata anacheza city, Chelsea nikija timu yenu pale Only Coutinho,
Na skrtel ndo wanaweza wakaanza katika XI ya Everton..
 
if you kill yourself its suicide, if you kill someone its homicide but if you haven't won the premier league for 25 years.........it's MERSEYSIDE
 
Smalling anacheza chelsea, barca, Shaw anacheza Chelsea, City, Bastian anacheza City, Chelsea, Barcelona, Rojo anacheza City, Chelsea, Darmian anacheza chelsea, city, Madrid, Rooney anacheza chelsea, Madrid, Morgan anacheza Chelsea, Depay anacheza chelsea, city, mata anacheza city, Chelsea nikija timu yenu pale Only Coutinho,
Na skrtel ndo wanaweza wakaanza katika XI ya Everton..

Hahahahaha, ffs, Smalling???? So depay ana uwezo wa kuwabench Hazard na Pedro?, darmian ana uwezo wa kuwabench Zabaleta, Azplicueta, Danilo na carvajal??? Rojo ana uwezo wa kuwabench Otamendi, kompany, Cahill, Terry and Zouma?? Hahahahahaha, and Bastian ambaye Guardiola alisema kaisha tangu misimu miwili iliyopita akawaweke bench kina Yaya Toure, Fernandinho, Matic, Fabregas, Busquet, Raktic etc, na Rooney anamweka bench nan Chelsea pale mbele?? Costa?? Rooney anacheza wapi madrid? Kwa Benzema?? Ronaldo? bale? kroos? james rodriguez?? Hahahahah, so Morgan ni holding Mid mzuri zaid ya Matic??? UNAVUTA BANGI????

KAMA UNAVUTA BANGI ACHANA NAZO MARA MOJA.
 
UKIACHANA NA DE GEA AMBAYE ANAONDOKA KWENDA MADRID, team yako ina world class player yupi??? Nitajie hata mchezaji wako mmoja ambaye anaweza akaanza Man city, Chelsea, Barca na madrid (Ukimtoa De Gea)..na ukimtoa Juan Mata, nitajie mchezaji wako hata mmoja ambaye anaweza akaanza LFC na Arsenal..

Hahahahaha....kwahyo kumbe ndugu umekaa unajidanganya kuwa una WC PLAYERS kwenye team yako hahahahah, unajua maana ya "WC CLASS PLAYERS" ndugu??

Inaelekea unawaongopea sana wenzako kitaa hapo..

WC player wa manure ni DE GEA tu...na anaondoka..

Mkuu hongera kwa kuwa na muda wa kuchezeshana kwata na "chei-chei"
 
if you kill yourself its suicide, if you kill someone its homicide but if you haven't won the premier league for 25 years.........it's MERSEYSIDE

Havent won it for 25 years but umenipita MAWILI TU..goes to show umechukua muda gani kufika nilikofikia mimi..

Ukitimiza UCL 5 njoo tupige story.
 
Nigga anakuja humu na kutuambia Smalling is better, HAHAHAHAHAHAHAHAH, tatizo ni kuanza kufatilia soccer juzi juzi, au kuangalia mpira kwenye vibanda umiza, kwan unakuwa na budget ya kwenda kuangalia team yako tu...
 
HAHAHAHAHAHAHA...jamaa kanimaliza kwa Smalling, na Mtu mzima Bastian..HAHAHAHAHAHA

kajamaa bado kanakua...

Unajua chunusi za balehe huwa zinaharibu sana kichwa??:biggrin1:

NImecheka sana kuona anavyomrate smalling na bastian, he is really on something

lakini endelea nae, ukimwacha atapotelea kule jukwaa la wakubwa :doh::doh::doh::doh:
 
Hahahahaha, ffs, Smalling???? So depay ana uwezo wa kuwabench Hazard na Pedro?, darmian ana uwezo wa kuwabench Zabaleta, Azplicueta, Danilo na carvajal??? Rojo ana uwezo wa kuwabench Otamendi, kompany, Cahill, Terry and Zouma?? Hahahahahaha, and Bastian ambaye Guardiola alisema kaisha tangu misimu miwili iliyopita akawaweke bench kina Yaya Toure, Fernandinho, Matic, Fabregas, Busquet, Raktic etc, na Rooney anamweka bench nan Chelsea pale mbele?? Costa?? Rooney anacheza wapi madrid? Kwa Benzema?? Ronaldo? bale? kroos? james rodriguez?? Hahahahah, so Morgan ni holding Mid mzuri zaid ya Matic??? UNAVUTA BANGI????

KAMA UNAVUTA BANGI ACHANA NAZO MARA MOJA.

Natumia KATECNO mchina Bruh kuandika sana sitaweza nitakujibu kwa Bastian Schweinsteiger tu, Rakitic, yahaya, fernandinho, matic, sijui wapuuzi gani uliowataja hapo wote akuna aliye anga za Bastian Schweinsteiger kama anakuwa fit 100 bila kupata majeruhi ya mara kwa mara na ilo aliprove mwaka jana tu pale kwenye ardhi yakina fernandinho, na hapa usije sema eti kazeeka, miaka 31 bado sana unajua pirlo alivyo enda kukibariki kiungo cha juventus akiwa na miaka 32, pep guardiola ni mbea tu, katafuta njia ya kuwapa uhuru ndugu zake wa hispanyola kucheza bila kubadilishwabadilishwa, a a a a a a a a a a a a a a a a a a a..
 
Hahahahaha, ffs, Smalling???? So depay ana uwezo wa kuwabench Hazard na Pedro?, darmian ana uwezo wa kuwabench Zabaleta, Azplicueta, Danilo na carvajal??? Rojo ana uwezo wa kuwabench Otamendi, kompany, Cahill, Terry and Zouma?? Hahahahahaha, and Bastian ambaye Guardiola alisema kaisha tangu misimu miwili iliyopita akawaweke bench kina Yaya Toure, Fernandinho, Matic, Fabregas, Busquet, Raktic etc, na Rooney anamweka bench nan Chelsea pale mbele?? Costa?? Rooney anacheza wapi madrid? Kwa Benzema?? Ronaldo? bale? kroos? james rodriguez?? Hahahahah, so Morgan ni holding Mid mzuri zaid ya Matic??? UNAVUTA BANGI????

KAMA UNAVUTA BANGI ACHANA NAZO MARA MOJA.

Ata sigala sijawahi vuta Bruh
 
Natumia KATECNO mchina Bruh kuandika sana sitaweza nitakujibu kwa Bastian Schweinsteiger tu, Rakitic, yahaya, fernandinho, matic, sijui wapuuzi gani uliowataja hapo wote akuna aliye anga za Bastian Schweinsteiger kama anakuwa fit 100 bila kupata majeruhi ya mara kwa mara na ilo aliprove mwaka jana tu pale kwenye ardhi yakina fernandinho, na hapa usije sema eti kazeeka, miaka 31 bado sana unajua pirlo alivyo enda kukibariki kiungo cha juventus akiwa na miaka 32, pep guardiola ni mbea tu, katafuta njia ya kuwapa uhuru ndugu zake wa hispanyola kucheza bila kubadilishwabadilishwa, a a a a a a a a a a a a a a a a a a a..

Hahahahah!! Kaka Bastian is FINISHED, jamaa mpira umeisha, ndo sawa sawa useme Xabi Alonso bado ni bora zaid ya Modric kwa sasa, kila mchezaji ana Prime yake mzee, Ronaldinho wa sahiv siyo bora zaid ya Coutinho..

BASTIAN kaisha ndugu..

Stats za msimu uliopita kati ya Allen na Bastian..nadhan unamjua JOE ALLEN, stats shows that he was better than Bastian last season.
ImageUploadedByJamiiForums1440157504.325655.jpg
 
Havent won it for 25 years but umenipita MAWILI TU..goes to show umechukua muda gani kufika nilikofikia mimi..

Ukitimiza UCL 5 njoo tupige story.

so far nina trophies 62 we una 60, am ur leader show some respect.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom