rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Rekebisha kauli nyie hamji sie ndio tunakuja kwenu kuwadonoa tehtehteh Kaa Mkao wa kususa kula na kutoa mkono.
Nilidhani tunakuja kumbe mnakuja na visu ktk ugomvi wa bunduki / risasi lol
Rekebisha kauli nyie hamji sie ndio tunakuja kwenu kuwadonoa tehtehteh Kaa Mkao wa kususa kula na kutoa mkono.
Mtani nilikua naangalia mambo ya Benteke anavyowapiga watu vidali tu. Timu langu lina utamu wake
Asante mtani kama nyie vile na clean sheet
Tehteh si unajuwa vita vya majimaji mganga Kasema risasi zitakuwa maji nendeni tu kupigana ukiitizama sana movie unaweza kujiona jet Lee na kuzuia risasi na meno.Nilidhani tunakuja kumbe mnakuja na visu ktk ugomvi wa bunduki / risasi lol
Mtani mwaka wa neema huu mwaka wa kupewa tu.....kibendera kingewekwa juu ingalikuwa ni point moja sasa....lol.....clean sheet yangu ni clean Haswaaa kuliko zote....😛😛😛😀😎
Mtani mwaka wa neema huu mwaka wa kupewa tu.....kibendera kingewekwa juu ingalikuwa ni point moja sasa....lol.....clean sheet yangu ni clean Haswaaa kuliko zote....😛😛😛😀😎
Hongereni watani wangu kwa point 3 za kupewa kwi kwi kwi kwi....... Malafyale W is a W Manga ML MosDef na Ed n Edd nEddy Pazi #AllLFCfans