Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bhana broo umenizingua juzi ujuee....
Nina hasiraaaaaaa hadi leo.
Hapa ni majogoo wanapigana na mitetea sasa nimeipa hela yangu najaribu kui support isije tempa na pesa yangu mkuu

Juzi nilikutafuta mida ya game ya Man nikaona kimya, jana, leo yote sikupati. Nikajua umerudi pori au ndo umeenda na Mafuriko ya EL
 
Hii partnership ya henderson na milner sioni faida yake kama hatuna DM maana coutinho anashuka mpaka kwenye dimba la kati kupata mipira ndo atoe long ball

Tumekuwa tukipoteza mipira kwa pasi mbovu bado tuna sideways pass na back passes kama msimu uliyopita

Yani kocha anamuonea henderson tu haiwezi namba 6 na hajui ku tacle, zaidi henderson anacheza vizuri mbele na hua anatoa assist nyingi tu
 
Tehteh wa natizama mpira sio muda wa chat kwao tehteh wewe Kaa na Mie kwenye Sofa....

Hahahhaha!!! Haya bana nawe umekuwa kama kakakuona unaonekana kwa msimu tu nadhani leo neema ipo kwa kuonekana hapa,nipe tu kahawa na kashata nishushiemo nisilale.....
 
Juzi nilikutafuta mida ya game ya Man nikaona kimya, jana, leo yote sikupati. Nikajua umerudi pori au ndo umeenda na Mafuriko ya EL

Ahaaaa apo umenipunguza makalii....
Ngoja basi nije kwetu nione mambo yanaendajeee....maaana nilikuwa naogopa kuchunguliaaaa
 
Coutinho... Hapa BR angefumba macho tu kama Brazil kwa Neymar au Wenger kwa Fabregas. Unampa unahodha basi
 
Gary Neville anataka kulazimisha Goli la Bounemouth in Goli mtu kamshusha mabega Kabisa Lovren sio Goli hata chembe na la LFC pia ilikuwa offside ki sheria yote sio magoli ila ndio ishakuwa 1-0 kipindi cha pili Ibe aletwe kulia na baadae Lallana atolewe aingie Emre Can na Ibe for Ings kuwe na Striker Wawili Mbele Lasivyo it aisha 1-1 tunahitaji Goli la pili mapema.
 
Gary Neville anataka kulazimisha Goli la Bounemouth in Goli mtu kamshusha mabega Kabisa Lovren sio Goli hata chembe na la LFC pia ilikuwa offside ki sheria yote sio magoli ila ndio ishakuwa 1-0 kipindi cha pili Ibe aletwe kulia na baadae Lallana atolewe aingie Emre Can na Ibe for Ings kuwe na Striker Wawili Mbele Lasivyo it aisha 1-1 tunahitaji Goli la pili mapema.

Aiseee!!! Umeniwahi kuongea juu ya goli la Benteke ila Bahati yenu bana!!!......
 
Gary Neville anataka kulazimisha Goli la Bounemouth in Goli mtu kamshusha mabega Kabisa Lovren sio Goli hata chembe na la LFC pia ilikuwa offside ki sheria yote sio magoli ila ndio ishakuwa 1-0 kipindi cha pili Ibe aletwe kulia na baadae Lallana atolewe aingie Emre Can na Ibe for Ings kuwe na Striker Wawili Mbele Lasivyo it aisha 1-1 tunahitaji Goli la pili mapema.

Hawa madogo wanaweza kurudisha na kuleta balaa, maana wametuzidi sehemu nyingi tu
 
najua point za muhimu ni za arsenal na ninajua atafanya haya haya ... labda Mungu amfungue siku ya kuamkia arsenal
 
Kwa walioangalia mechi nzima leteni uchambuzi, nimeona vipisi vipisi tu
 
LFC bado saaaaana ila Clyne ananipa matumaini mazuri ila Middle kati bado siielewi pia Kama Benteke atapewa mpira vizuri atatisha sana jamaa mbaaaya! Game na Arsenal kwa mpira wa Lallana anaotoa Pasi akitaka kuharibu basi tutaumia Lallana si wakuanza.... Narudia Bornemouth sio Goli Kama no Goli basi Andy Carrol angekuwa na magoli Mengi LFC yaliokataliwa kwa kuweka mikono na kumshusha mtu chini ila Goli la Benteke sheria mpya sio Goli labda mshika kibendera bado sheria hazijui ila Refa sheria anajijua Benteke alikuwa sio Offside pale Refa kamuachia mshika kibendera kosa la mshika kibendera. Ukiitizama Hata wachezaji hawa kulalamika wa timu ya away na toka sheria kuanza ndio imetokea game zitazokuja magoli mengi yatakataliwa. Muhimu point 3.
 
Only lucky
 

Attachments

  • 1439846220332.jpg
    1439846220332.jpg
    21.6 KB · Views: 81
  • 1439846236262.jpg
    1439846236262.jpg
    24.1 KB · Views: 77
  • 1439846251608.jpg
    1439846251608.jpg
    30.1 KB · Views: 81
  • 1439846283980.jpg
    1439846283980.jpg
    39.6 KB · Views: 79
Asante sana mkuu,naona Ben 10 ameanza vizuri hongereni sana........haya wale msiokuwa na uhakika na timu yenu tokeni chini ya uvungu basi mshatupia moja.....lol wapi Manga ML, MosDef na Ed n Edd nEddy!!!!???

Mtani nilikua naangalia mambo ya Benteke anavyowapiga watu vidali tu. Timu langu lina utamu wake



Hongereni watani wangu kwa point 3 za kupewa kwi kwi kwi kwi....... Malafyale W is a W Manga ML MosDef na Ed n Edd nEddy Pazi #AllLFCfans

Asante mtani kama nyie vile na clean sheet
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom