Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Agger anasema aliamua kuondoka LFC kwasababu ya Rodgers (interview ya Telegraph)
Mkuu hata mimi Naamini hata uyu SG ni reason iyo iyo tu
Agger anasema aliamua kuondoka LFC kwasababu ya Rodgers (interview ya Telegraph)
TOM WERNER anatua Liverpool City leo jioni..
Akanitia kichefuchefu zaidi kumuuza Suso na Jonjo na kumbakisha mwanae JOE Allen ...na aondoke tu aje klopp au ancelot
TOM WERNER anatua Liverpool City leo jioni..
Klopp katangaza kuchukua break. (Skysports, BBC)
Nasikia na Henry naye anakuja
Nasikia na Henry naye anakuja
Hapana wamekanusha, Henry haji. Anakuja Warner peke yake. Hata yeye atosha kumfukuza kichaa na makopo yake.
Najiuliza anapumziika kwa muda gani ... Dizaini kuna kaugumu kameanza kutokea mapema
FSG hawapo serious...
FSG hawapo serious...
Rodgers hajafukuzwa.
Kabaki lfc.
Gotta find myself a new hobby now..
Won't be watching LFC next season.
Aione Malafyale..Rodgers hajafukuzwa.
Kabaki lfc.