Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Hahhahah!!! "The sun"..
Sky Italia are saying Ancelotti amekataa kuongea na sisi.
Kwamana hiyo mkuu kumbe tuna saka koche eeh? Jambo jema kama jamaa wameamua kuona tatizo la tim maana dah
Hahhahah!!! "The sun"..
Sky Italia are saying Ancelotti amekataa kuongea na sisi.
Kwamana hiyo mkuu kumbe tuna saka koche eeh? Jambo jema kama jamaa wameamua kuona tatizo la tim maana dah
Hahaha.....kumbe Hata BR ni bwana mdogo sana kwa KoloTena matatizo sio kidogo
I pray tupate kocha mpya mapema maana BR walahi kichwani kwake siyo salama
SG ana miaka 35 unamuondoa lkn unampa mkataba Kolo mwenye miaka halisi karibia 47?
Kocha kichaa huyu
Chifu ulilipa ile bet yetu???
Kubuma kwa United hakuhusiani na umiliki wa wamarekani.
Tena matatizo sio kidogo
I pray tupate kocha mpya mapema maana BR walahi kichwani kwake siyo salama
SG ana miaka 35 unamuondoa lkn unampa mkataba Kolo mwenye miaka halisi karibia 47?
Kocha kichaa huyu
Tony Barret, Bascombe, Paul Joyce, Dom King are reporting kuwa southampton wameipiga chini Bid ya 10m for Nathaniel Clyne kutoka LFC..and wanasema LFC wapo tayar kurudi na bid ya 12m..
Yes mkuu, ile bet itawakilishwa kwa Max in person (kama ulivyopendekeza kwamba niwakabidhi JeiEfu)!! kwa sasa niko kitaa nazichanga
Atakuja kuthibitisha humu kwamba kapokea
Mkuu, hawa tuwarudishie Lamber na Lallana watupe ClyneHao.ndo dizain ya ki na Lalana wanakuja kwa bei kubwa kisha hakuna kitu...bora tusimnunue...tunahitaji kina Sanchez
Mkuu, hawa tuwarudishie Lamber na Lallana watupe Clyne
He is better than Glen Johnson, that is for sure
Hao.ndo dizain ya ki na Lalana wanakuja kwa bei kubwa kisha hakuna kitu...bora tusimnunue...tunahitaji kina Sanchez
Nathaniel Clyne, ni mmoja kati ya wachezaji wa southampton ambao ndo tulitakiwa tuwafate last summer..
Tunahitaji sana Right Back kwa sasa, hii move ni nzuri sana, na ni £12m, siyo mbaya kwa bei ya english players, na kimekuwa kiasi hicho coz mkataba wake na southampton unakarbia kuisha..
Anafaa, siyo kama lovren, lallana au Lambert, he's good..
I think he will join lverpool this season given that BR anaondoka... ni ngumu sana kwa defender to sign for Liverpool!! his tactics are not good for defenders
with Ancelotti and Klopp all agreeing that they would love manage liverpool tuna ka-lifeline hasa kwa vitoto kama Sterl, itakua a very big statement kwa hawa watoto kwamba we are still big enough to attract heavyweight managers
My dream.. Klopp signs, and buy Walcott, Benteke, Kondogbia, lacazette and a box to box midfielder (na kumrudisha Reina
Then sell: Allen, Borini, Lambert, Balotelli, Kolo, STerling, Enrique
3rd June ikipita Rodgers bado yupo LFC, ndo itakuwa ishatoka hiyo..tutaendelea kuwa nae..
So tusubirie tuone j5 itakuwaje..
3rd June ikipita Rodgers bado yupo LFC, ndo itakuwa ishatoka hiyo..tutaendelea kuwa nae..
So tusubirie tuone j5 itakuwaje..