Believe guys..they definately have seen something in him that you don't.
Another season to be f**ked up is coming with BR.
"Nlikuwepo":bolt:
Matokeo mazuri sana kwetu haya!Anafukuzwa huyu
Mkuu pole sana!!ila nadhani utakua umeyasadiki maneno yangu kua ndoa ya BR na FSG ina kitu, manager mwengine hawezi funga ndoa na FSG ni BR tu na ka CV kake kabovu
I'm speechless mate!
Nilipo soma kuwa Klopp anachukua likizo ya soka nikajua BR kabaki,lkn nilipo soma kuwa nguli Ancelotti anawatolea nje Milan nikajua BR anaondoka!
Nimetupa jezi zangu zote nilizonunua msimu huu za Liverpool,hata jezi za binti yangu pia nimetupa
Binti yangu kanielewa kuwa tunapumzika kushangilia soka!Hata package ya kuona selective games za Liverpool tu ktk EPL sitanunua
August hii wakiweka game yyt na watch hiyo hiyo siyo tena za Liverpool!BR is more than a joke
Duh...haya bana! Karibu kwetu..
Btw - serious qn - mlipofika 18 epl cups, utd walikuwa na ngapi? N ilikuwa mwaka gani? #thanks
Man U hawaji tena kuchukua EPL hadi binti yangu atamaliza chuo na atapata hadi familia yangu!Binti yangu ana miaka 3 sasa
Makocha kama LVG ni BR mwingine tofauti yao umri tu
LVG alifukuzwa Barca na Munichreal?? LVG = BR??
mkuu Malafyale mbona unaujua sana mpira, imekuaje hapa? au ndio kupaniki?
van gaal popote anapoenda ana make history starting to munich+barca+holland now is for utd,
unakumbuka baada ya webb na SAF kustaafu mlisema utd hata top 4 haitakuwepo simply eti kulikua na kampeni dhidi ya liverpool, we are back in top four mmebaki mnamlilia BR, van gaal anaweza asitupe PL but kumfananisha na rodgers ni matusi kwa total futball in generall.
LVG alifukuzwa Barca na Munich
Holland HAIJAWAHI KUCHUKUA kombe lolote chini ya LVG
Hata Man U mtaanza kupata vikombe akija back Sir Ferguson na mwakani tu mtamrudisha gwiji huyu wa soka
I'm speechless mate!
Nilipo soma kuwa Klopp anachukua likizo ya soka nikajua BR kabaki,lkn nilipo soma kuwa nguli Ancelotti anawatolea nje Milan nikajua BR anaondoka!
Nimetupa jezi zangu zote nilizonunua msimu huu za Liverpool,hata jezi za binti yangu pia nimetupa
3rd June ikipita Rodgers bado yupo LFC, ndo itakuwa ishatoka hiyo..tutaendelea kuwa nae..
So tusubirie tuone j5 itakuwaje..
Next week is huge.
Rodgers hajafukuzwa.
Kabaki lfc.
Man U hawaji tena kuchukua EPL hadi binti yangu atamaliza chuo na atapata hadi familia yangu!Binti yangu ana miaka 3 sasa
Makocha kama LVG ni BR mwingine tofauti yao umri tu
Mnaye...amewaganda kama ushuzi wa marham...
Ona huyu naye...kisa Blandina anabaki Loserfools ndiyo upoteze ufahamu hivi?!?