Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Coates ni mzuri, nakumbuka sana goli lake vs Fulham. BR hana mpango nae kabisa piga hesabu ya centre backs tuliyo nao Toure,Lovren,Sakho,Illori,Skrtel na coates hapo kuna wengine wanatakiwa kuondoka

Ilikuwa na QPR ile Loftus road pale, tulikufa 3-2 ile game..

Huyo Kolo naskia anapewa mkataba mpya wa mwaka mmoja..
 
Coates sidhani kama atabakia liverpool, mkataba wake umebakia miaka 2 na hakuna maongezi yeyote na hapo unaenda kubakia mmoja

Hana imani na Rogers kabisa tangu alipomrudisha kwao kwa mkopo kuna kipindi alikuwa anataka arudi kabisa kwao aachane na liverpool

Ndo maana tunahitaji new manager, this kid was signed because our defensive coach wa kipind kile Steve cracke wanted him at Anfield, he was just 21 kipind kile..

But BR treated him like shit, alipopata majeruhi ndo ikawa kabisa, akarudishwa nacional kwa mkopo, karud hajakaa hata sawa katupwa sunderland..but Advocaat anasema dogo kawa muhimili wa sunderland for the past few weeks..Coates anacheza kama Agger mpira wake, akili nyingi, yule Rodgers anataka beki nguvu, ndo maana he signed Lovren, he planned to bin sakho, but Lovren exposed him vibaya sana, ile game ya CPC ndo ilikuwa kabisa.
 
BR has screwed liverpool big time

Agger, Illori and Coates out... Kolo and Lovren in
Kelly out, Manquilo and Moreno in
Suarez out = Balo in
Reina out = Mignolet in

etc

Hii ya kung'ang'ania Sterling siyo kabis

Huko kote ananiboa ila kwa Sterling kazidi mtoto mdogo anamsumbua utafikiri pale academy hakuna upgraded version ya sterling. Huyu dogo nae afanye aende tu hata kuwa na amani na ego inamsumbua eti na yeye anataka wimbo wake kama Emre Can na coutinho wakati performance yake ni poor.

Hivi kulikuwa na haja ya kumuuza Kristopher Pietersson mbona alikuwa promising sana??
 
Ilikuwa na QPR ile Loftus road pale, tulikufa 3-2 ile game..

Huyo Kolo naskia anapewa mkataba mpya wa mwaka mmoja..

Ndo hivyo Coates anasepa maana hatuwezi kuwa na centre back sita kwenye timu. Nilichanganya mafaili hapo kwa fulham, hiyo si ndo cisse alipiga goli la ushindi kwa qpr?
 
Kwenye Press mtamsikia BR atakavyokuwa anamsifia Coates (he's good lad) kama alivyokuwa akifanya kwa Assaidi na Suso halafu mwisho wa siku mnaujua alichowafanyia
 
Phillipe Coutinho has been named liverpool player of the year and liverpool player's player of the year. Janjaweed na yule mtoto wako watu wamemtolea uvivu wamemuzomea

Congratulations to our little magician his performance this year was superb
 
Huko kote ananiboa ila kwa Sterling kazidi mtoto mdogo anamsumbua utafikiri pale academy hakuna upgraded version ya sterling. Huyu dogo nae afanye aende tu hata kuwa na amani na ego inamsumbua eti na yeye anataka wimbo wake kama Emre Can na coutinho wakati performance yake ni poor.

Hivi kulikuwa na haja ya kumuuza Kristopher Pietersson mbona alikuwa promising sana??

Rodgers mate, Rodgers..
 
Ndo hivyo Coates anasepa maana hatuwezi kuwa na centre back sita kwenye timu. Nilichanganya mafaili hapo kwa fulham, hiyo si ndo cisse alipiga goli la ushindi kwa qpr?

Yeah! Kaka, una kumbu kumbu sana..

tbh, I can't see Coates leaving baada ya perfomance ya sahiv..ilori ni kama Agger hivi, injuries nyingi kidogo..

Having 5 cb's is not that back, consdering Sakho is the new version of DS kwa injuries pia..so coates, lovren, skrtel, sakho and kolo/ilori will do for me, but tatizo dogo kama ilori anatakiwa apate playing time ya kutosha, umri wake bado kidogo, kwa sasa kama ningekuwa mimi ningempa coates muda uwanjani, he's ready.
 
Phillipe Coutinho has been named liverpool player of the year and liverpool player's player of the year. Janjaweed na yule mtoto wako watu wamemtolea uvivu wamemuzomea

Congratulations to our little magician his performance this year was superb

SG kwenye speech yake wakat awards said COUTINHO is the next BIG THING FOR LIVERPOOL..

Juzi tu, alitoka kusema kuwa among the youngsters kwenye club, he rates JORDON IBE saaana.

Mr. Raheem sjui atakuwa anajsikiaje, juzi alikuwa anafanya kazi ya kublock watu tu twitter..English players bhana, haya mambo huwez kuona wakifanya kina Gotze, Filipe Anderson, Rafinha, Vietto etc
 
Hahahahaha!!!!

Manure utd wants STERLING...

Oooh!! Wait..I thought they've signed a world class Depay..NO????


LOL..
 
Hahahahaha!!!!

Manure utd wants STERLING...

Oooh!! Wait..I thought they've signed a world class Depay..NO????


LOL..

Naona unajifariji...when it comes to British footie news, especially transfer news, Sky Sports is the most reliable source.

Hii stori imeanzia Daily Mail!!!
 
Hahahahaha!!!!

Manure utd wants STERLING...

Oooh!! Wait..I thought they've signed a world class Depay..NO????


LOL..
Its a media mockery now... Sterl will go to city or Bayern, sanasana chelsea

He wanted to stay, but messed his strategy with teh agent, it is the same agent who mearly ruined Mrundi Berahino

I would like to see Sterl commit to say, and then get sold by the club
 
Kwenye Press mtamsikia BR atakavyokuwa anamsifia Coates (he's good lad) kama alivyokuwa akifanya kwa Assaidi na Suso halafu mwisho wa siku mnaujua alichowafanyia

Hivi ni kwanini alimuuza Assaid huyu mwehu? Mbona dogo alikuwa very promising winger? Duh! Ukistaajabu ya BR.......!!!
 
Mimi bado nalia na FSG kumng'ang'ania huyu mpuuzi BR

Mmm issue ya kumfukuza kocha sioni kwa sasa,Liverpool kunavitu vingi kuanzia kwenye Directors wa club,mpaka wachezaji wenyewe.
Ondoa performance ya timu,
Negotiation ya wachezaji zinavyochukuliwa Liverpool ni Tatizo la muda mrefu na alikuanza Jana au Leo Lipo tu wachezaji muhimu Wamekuwa wanaondoka tu pale Liverpool.
 
Hivi ni kwanini alimuuza Assaid huyu mwehu? Mbona dogo alikuwa very promising winger? Duh! Ukistaajabu ya BR.......!!!

Mi hata sijui, huyo Assaidi alimnunua mwenyewe hakupata playing time kabisa kuna Luis Alberto naye alimleta naye ni kama Assaidi tu

BR anajiweza mwenyewe
 
Kwakweli hata kama BR atafukuzwa alafu haka karahim kakabaki bado nitakuwa sina amani.Yani bora kubaki na BR kuliko kubakia na haka karahim.Ni kajinga sana aisee na hakana akili ya mpira.Eti nacho kanataka mataji na kushiriki uefa.Agger amekapa makavu kuwa kama ni mataji timu ilikuwa na nafasi kwenye FA lakini hiki kirahin kilikimbiakimbia tu.Kama ni ucl timu ilishiriki na haka kavuta shisha kalikuwemo na kaliishia kutoa ulimi nje tu.

Sikapendi sana haka kajamaa kwakweli na huwa sifurahi kakifunga.Kanataka kuforce 'ushuarezi' eti.
 
Mmm issue ya kumfukuza kocha sioni kwa sasa,Liverpool kunavitu vingi kuanzia kwenye Directors wa club,mpaka wachezaji wenyewe.
Ondoa performance ya timu,
Negotiation ya wachezaji zinavyochukuliwa Liverpool ni Tatizo la muda mrefu na alikuanza Jana au Leo Lipo tu wachezaji muhimu Wamekuwa wanaondoka tu pale Liverpool.

kocha mpuuzi tu nae 75 ya kumuuza suarez analeta Balotel akaona bonge la usajili
 
Kwakweli hata kama BR atafukuzwa alafu haka karahim kakabaki bado nitakuwa sina amani.Yani bora kubaki na BR kuliko kubakia na haka karahim.Ni kajinga sana aisee na hakana akili ya mpira.Eti nacho kanataka mataji na kushiriki uefa.Agger amekapa makavu kuwa kama ni mataji timu ilikuwa na nafasi kwenye FA lakini hiki kirahin kilikimbiakimbia tu.Kama ni ucl timu ilishiriki na haka kavuta shisha kalikuwemo na kaliishia kutoa ulimi nje tu.

Sikapendi sana haka kajamaa kwakweli na huwa sifurahi kakifunga.Kanataka kuforce 'ushuarezi' eti.

dogo hajui watu kama Owen na Toress waliondoka kwa vituko kama yeye na ndo ikawa laana ya maisha ya soka wakaenda potea huko
 
dogo hajui watu kama Owen na Toress waliondoka kwa vituko kama yeye na ndo ikawa laana ya maisha ya soka wakaenda potea huko
DUU KALI AGENT WA DOGO

STERLING TO SNUB "£900K" DEAL
Raheem Sterling’s intermediary Aidy Ward tells London Evening Standard that his star wants to leave Liverpool and '£900,000-a-week would not keep him at Anfield'.

The saga looked set to be dragged out over the summer, however the 20-year-old seems to have made his mind up.
“He is definitely not signing. He’s not signing for £700, £800, £900 thousand a week. He is not signing," Ward said.
“My job is to make sure I do the best with them (my clients). If people say I am bad at my job, or they are badly advised it does not matter.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom