Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona unajifariji...when it comes to British footie news, especially transfer news, Sky Sports is the most reliable source.

Hii stori imeanzia Daily Mail!!!

Story nmeitoa kwenye Liverpool Echo hiyo..Liverpool's local news paper..
 
Its a media mockery now... Sterl will go to city or Bayern, sanasana chelsea

He wanted to stay, but messed his strategy with teh agent, it is the same agent who mearly ruined Mrundi Berahino

I would like to see Sterl commit to say, and then get sold by the club

Bayern/city my bet..
 
Kwakweli hata kama BR atafukuzwa alafu haka karahim kakabaki bado nitakuwa sina amani.Yani bora kubaki na BR kuliko kubakia na haka karahim.Ni kajinga sana aisee na hakana akili ya mpira.Eti nacho kanataka mataji na kushiriki uefa.Agger amekapa makavu kuwa kama ni mataji timu ilikuwa na nafasi kwenye FA lakini hiki kirahin kilikimbiakimbia tu.Kama ni ucl timu ilishiriki na haka kavuta shisha kalikuwemo na kaliishia kutoa ulimi nje tu.

Sikapendi sana haka kajamaa kwakweli na huwa sifurahi kakifunga.Kanataka kuforce 'ushuarezi' eti.
Kuna kila sababu pale Liverpool kuwapa kipaumbele wachezaji wakiingereza n tatizo.
Kumbuka sanga ya Steven Maccamanaman, Micheal Owen, na sasa huyu dogo
 
he wants aseno

Hahahaha!!!

NO!..Man city ndo ambao wapo kwenye front line, na Pep Guardiola pia..

Kama London, itakuwa ni Chelsea.

inasemekana kuwa, he wants to sign a new deal, but tatizo ni kwamba LFC wanataka kuweka release clause ya £50m, kitu ambao his money grabbing Agent Aidy Ward hakitaki. He did the same thing with Saido Berahino and odamwingie coz ndo Agent wao..(Guess unazikumbuka saga zao).
 
LOL

Tony Barret saying LFC wameAhirisha kikao ambacho kilikuwa kifanyike kesho kuhusu wao na sterling's camp..ni kwasababu ya comments za agent wa RS leo mchana.
 
Hahahaha!!!

NO!..Man city ndo ambao wapo kwenye front line, na Pep Guardiola pia..

Kama London, itakuwa ni Chelsea.

inasemekana kuwa, he wants to sign a new deal, but tatizo ni kwamba LFC wanataka kuweka release clause ya £50m, kitu ambao his money grabbing Agent Aidy Ward hakitaki. He did the same thing with Saido Berahino and odamwingie coz ndo Agent wao..(Guess unazikumbuka saga zao).

Na kikao kilichokuwa kifanyike kesho kimefutwa kutokana na maneno ya agent wake
 
Hahahaha!!!

NO!..Man city ndo ambao wapo kwenye front line, na Pep Guardiola pia..

Kama London, itakuwa ni Chelsea.

inasemekana kuwa, he wants to sign a new deal, but tatizo ni kwamba LFC wanataka kuweka release clause ya £50m, kitu ambao his money grabbing Agent Aidy Ward hakitaki. He did the same thing with Saido Berahino and odamwingie coz ndo Agent wao..(Guess unazikumbuka saga zao).

His agent keshasema kwamba hatasaini hata wakimpa 900K a week
 
Hahahaha!!!

NO!..Man city ndo ambao wapo kwenye front line, na Pep Guardiola pia..

Kama London, itakuwa ni Chelsea.

inasemekana kuwa, he wants to sign a new deal, but tatizo ni kwamba LFC wanataka kuweka release clause ya £50m, kitu ambao his money grabbing Agent Aidy Ward hakitaki. He did the same thing with Saido Berahino and odamwingie coz ndo Agent wao..(Guess unazikumbuka saga zao).

jana niliona kwamb city wameweka 40 na watampa 200k per week, leo wakala wake kasema hata sign liver hata wakimpa 900k per week na RS atajiunga na their biggest rivals.
dah ningekua mi kocha huyu dogo simuuzi na anasugua benchi for the rest of his contract.
#idiot
 
jana niliona kwamb city wameweka 40 na watampa 200k per week, leo wakala wake kasema hata sign liver hata wakimpa 900k per week na RS atajiunga na their biggest rivals.
dah ningekua mi kocha huyu dogo simuuzi na anasugua benchi for the rest of his contract.
#idiot

Team yoyote ile ikiweka hiyo hela LFC wanauza haraka sana.
 
Team yoyote ile ikiweka hiyo hela LFC wanauza haraka sana.

RS is not worth more than 30M na his agents knows it, he is just pumping up his name as an agent for all the wrong reasons

I would love to see RS sold to SCKA Moscow or PSG and rot in the bench
 
RS is not worth more than 30M na his agents knows it, he is just pumping up his name as an agent for all the wrong reasons

I would love to see RS sold to SCKA Moscow or PSG and rot in the bench

Duu,Mbona umempeleka mbali sana,na kama tukiipata hiyo 30m itakuwa habari njema
 
Rs ameishakuwa star
 

Attachments

  • 1432225600230.jpg
    1432225600230.jpg
    46.7 KB · Views: 111
Jordon Ibe commits long-term future to Liverpool by penning new deal while Jon Flanagan signs 12-month extension

Liverpool winger Jordon Ibe and defender Jon Flanagan have both signed contract extensions with the club.
Ibe, who broke into the first team after a successful loan spell at Derby earlier this season, has committed to a new five-year deal which substantially improves the terms he was on from his time with the academy. Liverpool announced the deal as a 'long-term' arrangement.
Flanagan, who was out of contract this summer and is currently recovering from a second knee operation, has extended his stay by a further 12 months.

'Liverpool are a great club and I like the philosophy here,' Ibe told liverpoolfc.com
'I've just been brought into the first team and I've enjoyed the games I've played in. Hopefully I can just keep doing well at the club.
'I just want to take that into pre-season and then next season, continuing with how it's been since I've been back here.'
Manager Brendan Rodgers has been rewarded for recalling Ibe from his loan spell in January and he praised the youngster for the progress he has made.
'He still has a lot of work to do to become that consistent performer at the top level, but there's no doubting his potential and he has really grown and developed over the course of the last season,' he said.
'He came back from Derby and had taken on board all that he was coached there and had done exceptionally well.
'I could see the change in him then. He was very focused and came in and did exceptionally well.
'He's a great talent, a big talent here for the football club and I'm delighted that he has been able to sign and commit to the future of the club.'
Flanagan will be sidelined for a further six months after a second knee operation, having missed the entire season, but Rodgers is optimistic he will come good again.
'He's a very important player and has been a huge miss for us this season,' said the Reds boss.
'He has got a long road ahead of him over the next four to six months but I'm sure he'll get his rewards at the end of that.'
Ibe and Flanagan's decision to put pen to paper on new deals will be music to the ears of Rodgers, particularly after the club were forced to cancel a meeting with Raheem Sterling's agent over a new contract. `

 
28F28AAF00000578-3091416-image-a-2_1432227442659.jpg


Jordon Ibe puts pen to paper on a new long-term contract in front of an image of Kenny Dalglish


28F28AE700000578-3091416-image-a-3_1432227446495.jpg


Ibe poses with a Reds shirt opposite the Royal Liver Building shortly after committing his future to the club

28F28D7D00000578-3091416-image-a-5_1432227471340.jpg


The 19-year-old is all smiles as he poses for photographs after signing a new deal at Chapel Street Ground




 

Similar Discussions

Back
Top Bottom