Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Niko hapa nasubiri kumuangalia legend Stevie Gerrard katika mchezo wake wa mwisho kama mcheza wa Liverpool. Pamoja na mimi si mpenzi wa Liverpool lakini huyu ni mchezaji katika baadhi ya wachezaji wa Liverpool ambaye nilitokea kumpenda na kumuheshimu sana kutokana na attitude yake anapokuwa uwanjani na uraiani kama mchezaji wa Liverpool/England. Thanks for the memories SG, good luck and all the best in LA Galaxy.
 
Bado Liverpool ina nafasi ya kuingia 4 bora kama itashinda mechi zake mbili zilizosalia ikiwemo hii ya leo kwa idadi ya magoli yasiyopungua 14, ikiombea Man U aliye nafasi ya 4 ateleze katika mechi zote mbili zilizosalia.
Kila la heri Liverpool, msimuangushe SG.
 
Mimi siyo mpenzi wa Liverpool...ila nalipenda sana hili song la liverpool.

Kwaheri Steven Gerard' hakika wewe ndio jogoo na kioo cha Anfield...daima utakumbukwa na wapenzi wote tunaofatilia ligi kuu ya England.
 
mr. wise & malafyale where are you bro?? nahitaji angalau picha 5 tu za tukio la kumuaga SG8, japokua c mpenz wa liver but i need it as a memorial
 
mr. wise & malafyale where are you bro?? nahitaji angalau picha 5 tu za tukio la kumuaga SG8, japokua c mpenz wa liver but i need it as a memorial
 
Huyu Brendan Rogers kalipia Bei gani ndege kuandika In Brendan Rogers We Trust ..... Afukuzwe tu na Raheem Bora aondoke naona kashachoka kuchezea timu, timu inayochezea si wachezaji ni upangaji wa Manager na namna anavyo manage vibaya.
 
Utamuachaje Sterling na performance hii unatoa Lallana?? BR ni mid-table manager
 
Utamuachaje Sterling na performance hii unatoa Lallana?? BR ni mid-table manager

Sidhani kama Can hatapata Redcard leo
 
Liverpool mnahitaji kuifumua timu yenu la sivyo msimu ujao mtaishia kama msimu huu...
 
Bado Liverpool ina nafasi ya kuingia 4 bora kama itashinda mechi zake mbili zilizosalia ikiwemo hii ya leo kwa idadi ya magoli yasiyopungua 14, ikiombea Man U aliye nafasi ya 4 ateleze katika mechi zote mbili zilizosalia.
Kila la heri Liverpool, msimuangushe SG.

Inabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu kubaki na matumaini ya Liverpool kuingia kwenye nne bora! Ni rahisi kwa Liverpool kuikosa nafasi ya tano kuliko kupata nafasi ya nne! Mechi ya mwisho Liverpool itacheza na wababe stoke city wakiwa kwao! Nasikitika kwa ajili ya Gerald! Mchezaji mzuri sana lakini hajawahi kuonja taji la premier!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom