Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,881 MO11 said: Kuna siku aliangusha mizigo yake nikamuokotea ndio akaanza kunipenda sijui alikuwahi kwa babu maana sisikii kwake Click to expand... Kumbe unapenda mizigo....ndio maaaanaaaa Pole sana, usharogwa hivo. Ushalishwa vingi, njoo tena nikuague
MO11 said: Kuna siku aliangusha mizigo yake nikamuokotea ndio akaanza kunipenda sijui alikuwahi kwa babu maana sisikii kwake Click to expand... Kumbe unapenda mizigo....ndio maaaanaaaa Pole sana, usharogwa hivo. Ushalishwa vingi, njoo tena nikuague
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,882 Honey Faith said: He is so complicated huyo mtu jamani muulize atoto atakwambia Click to expand... atoto sijui kalala sahivi. Au anaandaa andalio
Honey Faith said: He is so complicated huyo mtu jamani muulize atoto atakwambia Click to expand... atoto sijui kalala sahivi. Au anaandaa andalio
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 Nov 9, 2016 #8,883 Madame B said: Kumbe unapenda mizigo....ndio maaaanaaaa Pole sana, usharogwa hivo. Ushalishwa vingi, njoo tena nikuague Click to expand... ukimaliza kuniagua naomba na wewe uniroge ili nisisikie ya watu maana binadamu hawakulipenda penzi letu ila hapa namuwaza atoto tu
Madame B said: Kumbe unapenda mizigo....ndio maaaanaaaa Pole sana, usharogwa hivo. Ushalishwa vingi, njoo tena nikuague Click to expand... ukimaliza kuniagua naomba na wewe uniroge ili nisisikie ya watu maana binadamu hawakulipenda penzi letu ila hapa namuwaza atoto tu
cocochanel Platinum Member Joined Oct 6, 2007 Posts 28,670 Reaction score 78,171 Nov 9, 2016 #8,884 Madame B said: Mchezo pesa. Game muachie mwanao achezee nyumbani. Hahahjaah Click to expand... Ha ha haaaa
Madame B said: Mchezo pesa. Game muachie mwanao achezee nyumbani. Hahahjaah Click to expand... Ha ha haaaa
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Nov 9, 2016 #8,885 RRONDO said: Wivu wa nini wakati mimi nilikuwa mchepuko wako?! Click to expand... Kwa hiyo wewe ulikuwa mchepuko?
RRONDO said: Wivu wa nini wakati mimi nilikuwa mchepuko wako?! Click to expand... Kwa hiyo wewe ulikuwa mchepuko?
cocochanel Platinum Member Joined Oct 6, 2007 Posts 28,670 Reaction score 78,171 Nov 9, 2016 #8,886 RRONDO said: Siku zote nilikuwa natafuta gear ya kupiga soga wewe.. Click to expand... Oh Ok, ila bado nafikiria.
RRONDO said: Siku zote nilikuwa natafuta gear ya kupiga soga wewe.. Click to expand... Oh Ok, ila bado nafikiria.
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Nov 9, 2016 #8,887 Madame B said: atoto sijui kalala sahivi. Au anaandaa andalio Click to expand... Naona anaandaa andalio
Madame B said: atoto sijui kalala sahivi. Au anaandaa andalio Click to expand... Naona anaandaa andalio
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,888 MO11 said: ukimaliza kuniagua naomba na wewe uniroge ili nisisikie ya watu maana binadamu hawakulipenda penzi letu ila hapa namuwaza atoto tu Click to expand... Kwahiyo wataka tukuroge utupende wawili? Mbona wataka kuwasha moto ambao huwezi kuuzima? Ila jua mie sitataka zamu....kila siku kwangu
MO11 said: ukimaliza kuniagua naomba na wewe uniroge ili nisisikie ya watu maana binadamu hawakulipenda penzi letu ila hapa namuwaza atoto tu Click to expand... Kwahiyo wataka tukuroge utupende wawili? Mbona wataka kuwasha moto ambao huwezi kuuzima? Ila jua mie sitataka zamu....kila siku kwangu
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,889 cocochanel said: Ha ha haaaa Click to expand... Mapenzi ya pesa ni matamu sana aisee, sijui kwanini
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,890 Honey Faith said: Naona anaandaa andalio Click to expand... Au kama sio andalio, mitihani ya muhula wa pili au yuko na MO11 wako ufukweni wanakula upepo
Honey Faith said: Naona anaandaa andalio Click to expand... Au kama sio andalio, mitihani ya muhula wa pili au yuko na MO11 wako ufukweni wanakula upepo
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 Nov 9, 2016 #8,891 Madame B said: Kwahiyo wataka tukuroge utupende wawili? Mbona wataka kuwasha moto ambao huwezi kuuzima? Ila jua mie sitataka zamu....kila siku kwangu Click to expand... dawa zako zizidi za atoto nihamie kwako kabisa
Madame B said: Kwahiyo wataka tukuroge utupende wawili? Mbona wataka kuwasha moto ambao huwezi kuuzima? Ila jua mie sitataka zamu....kila siku kwangu Click to expand... dawa zako zizidi za atoto nihamie kwako kabisa
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,892 MO11 said: dawa zako zizidi za atoto nihamie kwako kabisa Click to expand... Hilo tu ndilo unalotaka? Nimemkumbuka sana ex wangu Ben Saanane, alilea mtoto wa Chimbuvu bila wasiwasi. Ila nami nilikuwa na msururu. Nahisi mbio za Siasa zimemuweka busy
MO11 said: dawa zako zizidi za atoto nihamie kwako kabisa Click to expand... Hilo tu ndilo unalotaka? Nimemkumbuka sana ex wangu Ben Saanane, alilea mtoto wa Chimbuvu bila wasiwasi. Ila nami nilikuwa na msururu. Nahisi mbio za Siasa zimemuweka busy
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Nov 9, 2016 #8,893 Madame B said: Au kama sio andalio, mitihani ya muhula wa pili au yuko na MO11 wako ufukweni wanakula upepo Click to expand... Ufukweni mda huu?au anafata maagizo ya manyau nyau
Madame B said: Au kama sio andalio, mitihani ya muhula wa pili au yuko na MO11 wako ufukweni wanakula upepo Click to expand... Ufukweni mda huu?au anafata maagizo ya manyau nyau
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,894 Honey Faith said: Ufukweni mda huu?au anafata maagizo ya manyau nyau Click to expand... Hivi hujawahi ona watu usiku beach? Yaani sijui wanafanyaga nini usiku ule. Mwisho waliwa na nyangumi
Honey Faith said: Ufukweni mda huu?au anafata maagizo ya manyau nyau Click to expand... Hivi hujawahi ona watu usiku beach? Yaani sijui wanafanyaga nini usiku ule. Mwisho waliwa na nyangumi
cocochanel Platinum Member Joined Oct 6, 2007 Posts 28,670 Reaction score 78,171 Nov 9, 2016 #8,895 Madame B said: Mapenzi ya pesa ni matamu sana aisee, sijui kwanini Click to expand... Nipe habari zaidi jamani
Madame B said: Mapenzi ya pesa ni matamu sana aisee, sijui kwanini Click to expand... Nipe habari zaidi jamani
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,835 Reaction score 37,445 Nov 9, 2016 #8,896 cocochanel said: Nipe habari zaidi jamani Click to expand... Hahahha Naona unachekelea. Matamu sana
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Nov 9, 2016 #8,897 Madame B said: Hivi hujawahi ona watu usiku beach? Yaani sijui wanafanyaga nini usiku ule. Mwisho waliwa na nyangumi Click to expand... Mweeh sijawahi ona labda siku moja nikatest kwenda usiku labda kuna raha yake.Vp RRONDO utanisindikiza?
Madame B said: Hivi hujawahi ona watu usiku beach? Yaani sijui wanafanyaga nini usiku ule. Mwisho waliwa na nyangumi Click to expand... Mweeh sijawahi ona labda siku moja nikatest kwenda usiku labda kuna raha yake.Vp RRONDO utanisindikiza?
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,872 Reaction score 129,872 Nov 9, 2016 #8,898 cocochanel said: Oh Ok, ila bado nafikiria. Click to expand... Unafikiria nini tena CC?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,488 Reaction score 176,549 Nov 9, 2016 #8,899 Madame B said: Aiseee Em tafuta kapo, maana Kairuki akimaliza vyeti vya ndoa...anakatiza majumbani kuhakiki kapo imara. Sasa tafuta kapo mapema kabla ya kurudishwa kijijini kwenu Click to expand... Aisee basi ngoja nikazane na MO11
Madame B said: Aiseee Em tafuta kapo, maana Kairuki akimaliza vyeti vya ndoa...anakatiza majumbani kuhakiki kapo imara. Sasa tafuta kapo mapema kabla ya kurudishwa kijijini kwenu Click to expand... Aisee basi ngoja nikazane na MO11
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,488 Reaction score 176,549 Nov 9, 2016 #8,900 Madame B said: Wenzio wanaostuka kumekucha wanaenda. Ila mie bhana wala siamini. Mganga anakuleteaje mume? Sayansi gani inatumika hapa katikati? Click to expand... Ndio unisaidie nawe kushangaa!! Anamtoa wapi!!
Madame B said: Wenzio wanaostuka kumekucha wanaenda. Ila mie bhana wala siamini. Mganga anakuleteaje mume? Sayansi gani inatumika hapa katikati? Click to expand... Ndio unisaidie nawe kushangaa!! Anamtoa wapi!!