Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,503 Reaction score 176,612 Nov 8, 2016 #8,781 MO11 said: aiseee mbona kunilaum kwako hakuishi Click to expand... Huko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo!
MO11 said: aiseee mbona kunilaum kwako hakuishi Click to expand... Huko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo!
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,472 Nov 8, 2016 #8,782 atoto said: Huko sio kukulaumu, ndio nakusifiaga hivyo! Click to expand... basi sifa za kijinga
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,503 Reaction score 176,612 Nov 8, 2016 #8,783 MO11 said: basi sifa za kijinga Click to expand... Mweeeeh!! Umeanza tena.
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,472 Nov 8, 2016 #8,784 atoto said: Mweeeeh!! Umeanza tena. Click to expand... Sio kwako labda kwa wengine
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,503 Reaction score 176,612 Nov 8, 2016 #8,785 MO11 said: Sio kwako labda kwa wengine Click to expand... Kwa wengine kuna nini?
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,472 Nov 8, 2016 #8,786 atoto said: Kwa wengine kuna nini? Click to expand... sina benefit
blance86 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 2,165 Reaction score 5,712 Nov 8, 2016 #8,787 mama kubwa said: Huu uzi nilikuwa sijaona nisingekuwa singo hadi leo sasa ukitaka kutongozwa unatumia mbinu gani? Click to expand... Nadhani mimi na wewe ndo hatuna wapenzi humu....ndo ukuje mama tuanze safari
mama kubwa said: Huu uzi nilikuwa sijaona nisingekuwa singo hadi leo sasa ukitaka kutongozwa unatumia mbinu gani? Click to expand... Nadhani mimi na wewe ndo hatuna wapenzi humu....ndo ukuje mama tuanze safari
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,503 Reaction score 176,612 Nov 8, 2016 #8,788 MO11 said: sina benefit Click to expand... Ooooh kumbe!
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Nov 8, 2016 #8,789 atoto said: Usiache bwana, ndio nakupendea huo. Click to expand... Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje
atoto said: Usiache bwana, ndio nakupendea huo. Click to expand... Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Nov 8, 2016 #8,790 Valentina said: Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje Click to expand... Hehe huyo jike shupa jamani
Valentina said: Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje Click to expand... Hehe huyo jike shupa jamani
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Nov 8, 2016 #8,791 Heaven Sent said: Hehe huyo jike shupa jamani Click to expand... Mi kanishinda kwakweli... Hivi karithi kwanani?
Heaven Sent said: Hehe huyo jike shupa jamani Click to expand... Mi kanishinda kwakweli... Hivi karithi kwanani?
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,377 Nov 8, 2016 #8,792 Valentina said: Mi kanishinda kwakweli... Hivi karithi kwanani? Click to expand... Ndo aje aseme hapa
Valentina said: Mi kanishinda kwakweli... Hivi karithi kwanani? Click to expand... Ndo aje aseme hapa
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Nov 8, 2016 #8,793 Heaven Sent said: Ndo aje aseme hapa Click to expand... We atoto hebu kuja upesi
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,500 Nov 8, 2016 #8,794 Valentina said: Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje Click to expand... Heaven Sent said: Hehe huyo jike shupa jamani Click to expand... Hahaa!, mweh atoto namba nyingine, huo mchombezo wake sasa..
Valentina said: Heaven Sent, kui, Honey Faith nimewamiss jamani mkuje Click to expand... Heaven Sent said: Hehe huyo jike shupa jamani Click to expand... Hahaa!, mweh atoto namba nyingine, huo mchombezo wake sasa..
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,500 Nov 8, 2016 #8,795 atoto said: Usiache bwana, ndio nakupendea huo. Click to expand... ..mtoto wa kike wewe. π
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,503 Reaction score 176,612 Nov 8, 2016 #8,796 kui said: ..mtoto wa kike wewe. π Click to expand... Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani.
kui said: ..mtoto wa kike wewe. π Click to expand... Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani.
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,284 Nov 8, 2016 #8,797 Nilishakwambia mie niko Mfaranyaki, Songea. Simjui mwanachama yeyote anayekaa jirani yangu. Kwani kui anaishi karibu na Mfaranyaki!? atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand...
Nilishakwambia mie niko Mfaranyaki, Songea. Simjui mwanachama yeyote anayekaa jirani yangu. Kwani kui anaishi karibu na Mfaranyaki!? atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand...
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Nov 8, 2016 #8,798 atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand... Wapi nimebadili gia we mwanamke? Uache kusingizia wenzako hebu
atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand... Wapi nimebadili gia we mwanamke? Uache kusingizia wenzako hebu
Legeza mwendo JF-Expert Member Joined Oct 8, 2016 Posts 519 Reaction score 655 Nov 8, 2016 #8,799 youngkato said: Click to expand... Mods hizi picha zingine za kutiana nyege tu, khaaaaaa
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,500 Nov 8, 2016 #8,800 atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand... Haha, mie simo huu mpira namrushia BAK..π BAK said: Nilishakwambia mie niko Mfaranyaki, Songea. Simjui mwanachama yeyote anayekaa jirani yangu. Kwani kui anaishi karibu na Mfaranyaki!? Click to expand...
atoto said: Heaven Sent unatafuta laana, kui mama mie na MO11 ni majirani, kwani umemsahau anakaa pale karibu na BAK? Mbona we na BAK sijaona kapo yenu hapo? Valentina naona kabadili gia angani. Click to expand... Haha, mie simo huu mpira namrushia BAK..π BAK said: Nilishakwambia mie niko Mfaranyaki, Songea. Simjui mwanachama yeyote anayekaa jirani yangu. Kwani kui anaishi karibu na Mfaranyaki!? Click to expand...