Mie sio mtoto ujue, mpaka hapa na uzee huu ujue nishapita kwingi ila kwa wax ndio funga kazi, sory nishafika ninapopataka hapa sibanduki, we kula kwa macho tu maana hamna namna, muache wax wangu afaidi vyake kwa raha zake.
Mie sio mtoto ujue, mpaka hapa na uzee huu ujue nishapita kwingi ila kwa wax ndio funga kazi, sory nishafika ninapopataka hapa sibanduki, we kula kwa macho tu maana hamna namna, muache wax wangu afaidi vyake kwa raha zake.