aretaskimario
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 527
- 248
Nipe hela mimi nikushushie mistali mpaka uvue boxer mwenyewe..
Hujanielewa wewe! Nataka unitongoze hadi tufike mahali utake tujuane zaidi na zaidi huku nikidunda kwa kula kitumbua.
Nipe hela mimi nikushushie mistali mpaka uvue boxer mwenyewe..
Hujanielewa wewe! Nataka unitongoze hadi tufike mahali utake tujuane zaidi na zaidi huku nikidunda kwa kula kitumbua.
Hahahaaaa ule kitumbua changu? Wew umesema kutongozwa sio kula kitumbua
Nataka wewe unioe
Mie kuoa hata tubaki wawili tu duniani sioi!!! Kama huwezi kuwa "mwanaume" basi na upite mbali.
Kumbe unanipiga vijembe!😡 Basi takuoa meme. 😛
Mie hata kwa nyongeza sikutaki maana ushaonyesha udhaifu mkubwa mnooo, we subiri waoaji waje wakuoe.
Shindwa na ulegee kwa jina langu.
Hahahaaaa
Mie ninaye mkuu....
Niliambiwa unawawili nikaona bora nikae chonjo
Mambo pouwa, hhaahaa kiwatengu hebu verify hii kitu watu tuchepuke mapemaaa..si unajua tena njia kuu foleni..njia kuu michosho..
Hahahaaa sio wawili tuu mkuu...kila jukwaa hahahaaa
Jukwaa hill unawangapi
Hii ni MMU eee...
Huku sina na siingiagi kivile adi niitwe
Sjakusoma MMU
Kwan hili ni jukwaa gani? Au mgeniii?
Pooh saw a kwaiyo Kwa jukwaa hili unawangapi