kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,677
- Thread starter
- #6,981
Nakutania Honey Faith si unajua mkmi ustaadhi swala tano.
braza..mambo niaje?
kuna free soul somewhere...
Last edited by a moderator:
Nakutania Honey Faith si unajua mkmi ustaadhi swala tano.
braza..mambo niaje?
kuna free soul somewhere...
Vipi mamaafacebook jana usiku ulikuwa offline nikashindwa kukutongoza.
YeAh jana sikuepo labda leo ujaribu
Haya nataka nikutongozw mpaka uzutafune kucha zako zote
Haya nataka nikutongozw mpaka uzutafune kucha zako zote
Hivi bado unatanga tanga kumbe!
Wewe mwenyewe si umeachika? Sijui nianze na wewe? Ila nimesahau kutongoza nianzaje? Nifundishe basi.
Hivi bado unatanga tanga kumbe!
Hahahaha asante sana mke mwenza kwa swali zuri.Yani miaka yote anatangatanga ndio wale mtaka yote kwa pupa sasa kabaki anashangaa shangaa na kila mtu yupo kwake............lol
Kazi nyingi, na bila hela mnatuita kaka lol.
teh teh..ulizidiwa kwenye ile ligi?
Mtoto ananipenda mpaka leo lakini kwanini tugombanie samaki mmoja wakati kuvua najua?
teh teh..ulizidiwa kwenye ile ligi?
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕😕