M
MegaPyne
Guest
- Thread starter
-
- #301
Washindi NEC Vijana. CCM BARA
Lucy Mahenga
Zainab Mfaume Kawawa
Violet Mzindakaya
Nape Moses
Jerry William Slaa
Sara Msfari Ali
Seleman Chambi
Benard Malisa
Edwin Sanda
Washindi kwa wanawake. CCM BARA
Sofia simba
Kate Silvia kikamba
Asha baraka
Hadija Omari Kopa
Samsha Mwagunga
Rehema Nchimbi
Anna Malecela
Aisha Kidoga
Diana mkumba Chilolo
Anna Semamba Makinda
Pinde Chanda
Zajua Megji
Magret Sita
Full list ya wanawake NEC CCM Bara
..inaonekana vingine!ila uki-quote unaiona vingine pia!
Ahadi za JF members siziamini tena,,, kila mtu anajifanya yuko Dodoma!!! Eboo
Hawa ni Kundi la Wazazi Bara NEC CCM
Stela manyanya
Zainab Gama
Musa Assan zungu
Adam Malima
Muhamed Nondo
Richard Said Nyaulawa
Kwa kiasi kikubwa majina ni YALE YALE tu..tangu miaka hiyoooo ya TANU mpaka leo...kinachobadilika hapa ni zamu ya watoto sasa. Mwendo wa kurithishana utadhani Tanzania ni nchi ya Kifalme.