Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Kwani wewe huna bwana?
Ben Saanane wangu unamfukuzia na Old is gold wangu Chimbuvu unamtaka,
Uwaache wapumue.
Ningekuwa nae nisingewafukuzia hawa......
Kwani wewe huna bwana?
Ben Saanane wangu unamfukuzia na Old is gold wangu Chimbuvu unamtaka,
Uwaache wapumue.
Nimeshakujua wewe si shoga mwema.
Naepukana na wewe sasa hv.
Hv kweli kile kiungo ndio kituachanishe ushoga wetu?
Ben Saanane, Come baby ulale juu ya kifua changu.
Ujipoze Kamanda wangu.
Nishakwambia Evelyn Salt ni Mamluki.
Poa poa,kimya kimya....Mwaaahhhh shem!!!!!!!
poa mida........
Ha ha haaa,
My love for you will never die
Wewe ndiye pekee unanifaa maishani mwangu
Napenda unavyonifariji ninaporudi kutoka kwenye harakati
Nakupenda Madame B
Evelyn Salt anataka kutuharibia penzi letu,sitegeki.
Wewe ni kisiwa cha huba.penzi langu kwako halipimiki.Mmmwaaaaahh!
View attachment 84815
Afu wewe naona unanichanganyia mafaili tu hapa kama sio kunikanyagia waya.....
naomba utoe tamko hapa!!!!!!!!!!!!!!
Sasa si ninamzuga ,unajua leo ninaweza nisirudi home kabisa.Unadahani nisipomuonyesha hayo si atashtukia
We tulia shem wangu Evelyn Salt.Leo nikija ikiwezekana tusirudi kabisa na unajua weekend inakaribia.Nitajifanya nimetekwa.....!
Mpenda Yesu wa wapi mbea hivi? ha ha ha..duhCOPY: Madame B
Acha kuumia aisee mwanaume kitu gani aisee
Kula kona rudi home ule raha za familia!
Bwana mii nna vichomi nikicheka sana mbavu zianuma!! Ila kwa ufafanuzi tu msichana anayeonekana kwenye picha ya post hii ndo nilipishana naye maeneo hayo na sikujua kama anakuja hapo mpaka nilivomuona kwenye picha jana, kwa mantik hiyo sikuondoka na mhudumu yeyote.
Lets arrange hata siku ingine......
Shikamooni
Mpange nini tena? aaaah!
Aisee kumbe kulikuwa na kitu hii?
Aisee nimekosa mengiii!
Daaah naomba nipate mahadhimio kutoka na title hapo juu! Aisee nili wa miss sana!
Cc Mtambuzi, Madame B, Remmy Zion Daughter , Paloma , watu8, Vin Diesel Mentor FirstLady1, manoah.
Kwa kifuuuupi kabisa kabla sijaifunga hii sredi, kuna kiumbe chochote cha kiume au cha kike kati yenu anaweza kuniambia hapa mnadiskasheni makitu gani hasa?
Mkishanijibu mniambie:
Remmy, na wewe unanipenda kama navyokupenda?
amu, unweza niambia maana mbili za neno 'kopo'?
Mentor, eti leo jumangapi?
Vin Diesel, kikombe alichonipa baba sitakinywa?
Kipaji Halisi, CCM Safffey au hoooi?
watu8, imekuwaje arifu ukanitelekeza na haya majukumu mazito?
Madame B, unaifahamu gesti mpya bunju inaitwa Hijase?
FirstLady, Tuna nini mimi na wewe
KakaKiiza, kizuri kula na nduguyo. Kama perfume bei ghali tumia petroli, umenierrrrewwwa?
Paloma, hivi unajua kijambacho ni tumbo, kitoacho mlio ni spika?
Mtambuzi, wel wel well........ sina swali kwako
Evelyn Salt, lile jukwaa lako na Madame B umelambwa ban?
Baada ya kusema hayo..... CCM Saffffeeeeeeeeeeeeeeeey???
Bia kupanda bei heshima saffffeeey!
Ushauri: Kunywa biya kwa wingi Remmy na Zion Daughter wapate mishahara.
Biyaaaa Safffffeeeeeey!!
Heheheheh huyo amechoka mpaka baaasi. Chezeya K za mabaamedi wewe? Afu si alikwa shem kwa rafiki yako ticha mtoto wa mjeda?Nisalimie Gift na Salehe,waambie nikipata nauli nitakuja.
Heheheheh huyo amechoka mpaka baaasi. Chezeya K za mabaamedi wewe? Afu si alikwa shem kwa rafiki yako ticha mtoto wa mjeda?
Mjeda kanali mstaafu bana. Baba yake rafiki yako ticha kipotabo kama wewe.Mjeda yupi?
Wa pale kona,njia ya maweni pale kwenye Bar?
Au mjeda yule aliyejichokea na maisha anaevaa tinted usiku?
Kwa kifuuuupi kabisa kabla sijaifunga hii sredi, kuna kiumbe chochote cha kiume au cha kike kati yenu anaweza kuniambia hapa mnadiskasheni makitu gani hasa?
Mkishanijibu mniambie:
Remmy, na wewe unanipenda kama navyokupenda?
amu, unweza niambia maana mbili za neno 'kopo'?
Mentor, eti leo jumangapi?
Vin Diesel, kikombe alichonipa baba sitakinywa?
Kipaji Halisi, CCM Safffey au hoooi?
watu8, imekuwaje arifu ukanitelekeza na haya majukumu mazito?
Madame B, unaifahamu gesti mpya bunju inaitwa Hijase?
FirstLady, Tuna nini mimi na wewe
KakaKiiza, kizuri kula na nduguyo. Kama perfume bei ghali tumia petroli, umenierrrrewwwa?
Paloma, hivi unajua kijambacho ni tumbo, kitoacho mlio ni spika?
Mtambuzi, wel wel well........ sina swali kwako
Evelyn Salt, lile jukwaa lako na Madame B umelambwa ban?
Baada ya kusema hayo..... CCM Saffffeeeeeeeeeeeeeeeey???
Bia kupanda bei heshima saffffeeey!
Ushauri: Kunywa biya kwa wingi Remmy na Zion Daughter wapate mishahara.
Biyaaaa Safffffeeeeeey!!
Mjeda kanali mstaafu bana. Baba yake rafiki yako ticha kipotabo kama wewe.