SHARPVILLE
Member
- Feb 19, 2013
- 36
- 12
nakutazama tu mie....
Unamtazama nini? ha haaa!
nakutazama tu mie....
Nimechekaje this morning???:smile-big:I hope my wife isn't reading this......naomba nikupe pole kwa kubeba mkoba hakukusaidia....
Ni samehe basi sweatheart ohoooo sorry dear!!:tape2:wewe lazima nipande ndege nzima ya fastjet ili niwe angani kukutafuta wewe hujui kuwa familia yangu inateketea kwa kumchukua mume wangu na kumpelekea pub sijui ni ya Mtambuzi hiyo pub nakuja sasa hivi hapo ama chako ama chanagu panachimbika sasa hivi ngoja nitoke hapa job weweeeeeeee
Aisee kumbe kulikuwa na kitu hii?
Aisee nimekosa mengiii!
Daaah naomba nipate mahadhimio kutoka na title hapo juu! Aisee nili wa miss sana!
Cc Mtambuzi, Madame B, Remmy Zion Daughter , Paloma , watu8, Vin Diesel Mentor FirstLady1, manoah.
Mapenzi uliyonipa janaaa kesho nitarudi tenaa
Unamtazama nini? ha haaa!
Eee...?
sielewi atii
cjaipata
Shem wangu ladyfurahia,unajua huyu mtoto ananza kunipa wasi wasi.mhhh,anateleza balaaa...gharika!Kweli Evelyn Salt alinitahadharisha nikadhani ni mipango ya Chimbuvu na Nicas Mtei
ShkamooNishakupa habari zake lakini unajifanya huelejwi somo shauri ako!!!!!!!!!!
Evelyn Salt mhh nimeamini,naanza kuchukua tahadhari shem wangu,Tukutane jioni tukitoka kazini tuangalie kama tunaweza kuendelea kuitana shemeji au tupange yetu!Nishakupa habari zake lakini unajifanya huelewi somo shauri ako!!!!!!!!!!
Evelyn Salt mhh nimeamini,naanza kuchukua tahadhari shem wangu,Tukutane jioni tukitoka kazini tuangalie kama tunaweza kuendelea kuitana shemeji au tupange yetu!