Live from LEO TUPO HAPA PUB

Live from LEO TUPO HAPA PUB

sikutegemea yani mume wangu ulivyoniaga asubuhi kuwa unakwenda job kumbe ulikuwa na sehemu zako sasa ona nilivyokubamba hapa halafu isitoshe uko na nani huyo, leo jioni home patachimbika lazima uniambie ulikaaa na nani pale maana kaja gfsonwin kunitonya home kuwa hujakwenda job uko hapa. UTANIELEZA LEO HOME!
Hapo chacha...
 
Last edited by a moderator:
Haha haaaaaaa
Majanga haya....nilishangaaje tu, nikasema yeuwiii nafwaa leo picha linaungua..
Nilifika salama salimini.
maana jamaa alikuwa anaunguruma kama jeifong ya mchina nikajua leo kimesanuka lazima Leo tupo hapa pub kitanuka!!Nikajiendea kwa Amo>>>>>.na Asprin!!
 
Last edited by a moderator:
Yani umetaja list nzima ukamwacha mkeo, ama kweli nimefunguliwa macho leo na dada gfsonwin maana amekuangalia pale ofisini kwenu hajakukuta kacheki daftari la orodhesho wafanyakazi hajaona jinalo, kumbe ile asubuhi ilikuwa danganya toto kula kunde mbichi kwangu sikutegemea beibe kunifanyia hivyo acha nimwambie mpiganaji mwenzangu Smile anisaidie maana daraja limeanza kuyumba waungwana wa cc nifanyeje au nipeleke kesi hii kwa kaka yangu Erickb52 anisaidie ndoa imekuwa ndoana kaka njooo home hapa
Kama tulivyokubaliana wadau basi ndo tumefika eneo la tukio na wadau waliokwishafika ni Remmy Mtambuzi Asprin Madame B

View attachment 84360
updates:

Mkuu Vin Diesel naye yumo ndani ya nyumba.

Daah hadi wazee wa siasa kunyumba...

Update 2:
Mkuu Kipaji Halisi ndani ya nyumba...

Update 3: ismail n. Juma naye yumooo....


Da Madame B..ndo kinywaji gani hiki umeleta dada??!


updates:

4.Hadi sasa kuna members 20 na wageni 5 wote wa kike...


kuanzia kushoto...
manoah
Remmy
Teamo
Vin Diesel
FirstLady....be easy on the strawberry lips. alafu mumeo leo lazima aku...
The Finest
KakaKiiza
Justice faustine
Kipaji Halisi
Mentor...sterling wa IT sector
kushoto na kulia kwangu wageni waalikwa (guest members) (wamekuja na Vin Diesel) ila nimemsaidia kazi
babu Asprin...someone tek this old man away...btw hajaja na wake zake..get the picture.
Madame B
wengine muendelee kujitaja tafadhali govinder kumar inaisha hapa....
 
Last edited by a moderator:
Mhe ninachokumbuka ni kwamba Nimeamka asubuhi nikajikuta niko Sinza.
Sijui nilifikaje.
Ila mrejesho utakuja soon.
Ila naomba umuulize Asprin na KakaKiiza mbona walipotea ghafla dk 5 baada ya wale akina 'Kim K' kuondoka,afu pale pembeni mbele kwenye kona niliona kibao kimeandika 'Vyumba vimejaa?'
Mhmmm tutakuletea matarumbeta unataka nionekane mimi nilikujakuchukuliwa na Vimini? Paloma huyo mwongo kaondoka na Nissan Hardbody sasa ulizia ilikuwaje maelezo anayo Asprin ila mtunzi wa srios hiyi ni The Finest
 
Last edited by a moderator:
wewe endelea kuendekeza hiko kilaji umemponza hata mume wangu naye kaingia humo kilichokufanya uje home kumbe ulikuwa unajenga daraja la wanywaji wenzako upate wengi wakuwapotosha ona sasa mume wangu hajakwenda kazini leo kaja hapo na amenidanganya anaenda job nami nimebamba live hapa sipendi huje tena home nasema nitakuchukulia hatua kali za kisheria wewe umesababisha mume wangu awe mlevi acha nimwambie kaka yangu anisaidie haya mambo kwani naona mlima unapasuka bure nami sipendi kumpoteza laaziz wangu kwani nimetoka naye mbali sana mpaka kaka yangu Erickb52 anafahamu hilo
maana jamaa alikuwa anaunguruma kama jeifong ya mchina nikajua leo kimesanuka lazima Leo tupo hapa pub kitanuka!!Nikajiendea kwa Amo>>>>>.na Asprin!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Jamani nitafutieni yule binti niliondoka nae siku ile....kuna kinguo alikiacha home
Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti.....
Hicho kitu nilikijua kabla!maana mimi alijifanya kunikabidhi pochi wengine kawakabidhi kingua cha ndani>>>CCM safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!zidumufukara za mwenye kitu!
 
mhh kweli binadamu hakunyimi neno! Tumepeana break, 2kiresume mapenzi yanakuwa fire! Kalagabaho na umbea wako!


:tape2::tape2::tape2::tape2::tape2::yo::yo::yo::banplease::banplease::A S 114:
A%20S%20114.gif
A%20S%20114.gif
A%20S%20114.gif
A%20S%20114.gif
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::sorry::sorry::sorry::sorry:
 
wewe endelea kuendekeza hiko kilaji umemponza hata mume wangu naye kaingia humo kilichokufanya uje home kumbe ulikuwa unajenga daraja la wanywaji wenzako upate wengi wakuwapotosha ona sasa mume wangu hajakwenda kazini leo kaja hapo na amenidanganya anaenda job nami nimebamba live hapa sipendi huje tena home nasema nitakuchukulia hatua kali za kisheria wewe umesababisha mume wangu awe mlevi acha nimwambie kaka yangu anisaidie haya mambo kwani naona mlima unapasuka bure nami sipendi kumpoteza laaziz wangu kwani nimetoka naye mbali sana mpaka kaka yangu Erickb52 anafahamu hilo
Msamaha plz maana na huyo mumeo anapenda kayoga unategemea nini mnunulie pingu fungia kwenye mguu wakitanda nikija naondoka na wewe yeye tunamuacha ili nisije kumfundisha tabia mbaya sawa??
 
Yani umetaja list nzima ukamwacha mkeo, ama kweli nimefunguliwa macho leo na dada gfsonwin maana amekuangalia pale ofisini kwenu hajakukuta kacheki daftari la orodhesho wafanyakazi hajaona jinalo, kumbe ile asubuhi ilikuwa danganya toto kula kunde mbichi kwangu sikutegemea beibe kunifanyia hivyo acha nimwambie mpiganaji mwenzangu Smile anisaidie maana daraja limeanza kuyumba waungwana wa cc nifanyeje au nipeleke kesi hii kwa kaka yangu Erickb52 anisaidie ndoa imekuwa ndoana kaka njooo home hapa
Acha kuumia aisee mwanaume kitu gani aisee
Kula kona rudi home ule raha za familia!
 
Nilikuona mikeke yako nikajua hapa lazima naniriyuuu imekula kwake lol!Mzee unatiming kama za simba!!unamida yako unakuwa kama simba mzee unasubiria kisimani ukijua lzima waje kunywa maji!!Nimekukubali!

I hope my wife isn't reading this......naomba nikupe pole kwa kubeba mkoba hakukusaidia....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom